Jaji Mkuu bw Mohamed Othmani Chande akisaidiana na jaji Natalia Kimaro pamoja na Jaji Salum Masati wa mahakama ya rufaa, wanapitia hukumu ya kesi ya aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya Chadema . Wadau je mnalionaje hili.? huyu Jaji Mkuu kwa nini asikae pembeni ktk hili..? itakuwaje hukumu ikiwa ya kisiasa tena.........?
Jambo liko Mahakamani Mkuu si ruhusa kulijadili
Ndugu,
Kwa faida ya nani