Kosa lilikuwa la mwenye mbwa lakini cha ajabu akahukumiwa mbwa. Lakini wahusika wa sheria za wanyama walipiga kelele na ndio maana ilipigiwa kelele sana.kosa lilikuwa la umbwa au la mwenye umbwa.....wenye kuhusika na sheria za wanyama walikuwa wapi?....sheria zingine bana
mh so leo nikimwita dog wangu ivyo leo hii mm nitasomewa shitaka la kuuwawa kama dog
kosa lilikuwa la umbwa au la mwenye umbwa.....wenye kuhusika na sheria za wanyama walikuwa wapi?....sheria zingine bana
Mkuu, naona unarudia maneno yale yale, wala sijaelewa.... Lakini wahusika wa sheria za wanyama walipiga kelele na ndio maana ilipigiwa kelele sana.
Preta bana! umbwa ni nini? Mambo ya mother-tongue:biggrin1: