Nimeangalia ramani ya Kenya Somali kabla ya mgogoro iko hivi ;
Baada ya uamuzi wa ICJ imekuwa hivi;
Kwa mtazamo wangu ICJ hawajaitendea haki Kenya kwa kuwa wamewapa kama 20% ya eneo gombaniwa (disputed area).
International riparian rights (law) ambayo ndiyo ilitumika kumaliza mgogoro wa Rasi ya Bakasi kati ya Cameroun na Nigeria, inasema nanukuu;
Riparian rights simply mean
the rights bestowed on the people living along the banks of rivers. Riparian Rights are natural results that occur as rights because of residence in a specific. area. These are rights which belong to persons who live on a shore, bank or a river, ocean or lake.
Ndiyo maana hata kwa issue ya Lake Nyasa au kama Lake Malawi (kama wanavyoliita wenyewe Malawi), Tanzania haiwezi kupoteza haki yake.
Malawi wanatumia sababu za Kihistoria kuwa ni la kwao peke yao zinazotokana na Heligoland Treaty ya 1870 na uzembe wa Mkoloni Mwingereza ambaye Malawi ilikuwa colony lake na Tanzania ilikuwa trusteeship yake. Mwingereza akafanya uzembe kurekebisha mipaka hadi nchi zote 2 zikapata uhuru bila kurekebisha. Lakini Lake Nyasa ni mali ya nchi 3; Tanzania, Mozambique na Malawi.
Mpaka inakuwa exactly at the center of the lake