Kesi ya kikatiba huwa hayatajwi majina ya watu wala kushitaki watu, za watu ni za jinai

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kesi za kikatiba huwa ni tofauti na za jinai au madai.Za katiba huwa hawatajwi watu wala hushtaki watu unaomba ufafanuzi wa maswala ya kikatiba tu.Ukishtaki mtu kwenye mahakama ya katiba hiyo kesi umepeleka pasipo umeingia choo cha kike wakati wewe ni mwanaume.Hiyo kesi jaji lazima aitupilie mbali
 
Haraka ya nini kada mwenzangu?acha tusubirie tamati ya shauli...
 
Afanalek
Ati huyu kilaza anajua sheria kuliko Lissu na Kibatala
 
Kwa hyo kesi ya Mbowe dhidi ya wale watendaji watukufu imeshatupiliwa mbali?
 
Sory labda ni sababu ya uelewa wangu mdogo katika sheria. Vipi kuhusu kesi za kina mtikila mbona ni za kikatiba na zina majina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…