Kesi ya kina Mbowe kweli ni ya ugaidi ukweli?

Hakika umenena vema. NI AIBU iliyoje,Kwa jeshi la Polisi. Hivi mkituhumiwa mtakataa. Mtasema matumizi mabaya ya mtandao? Hivi Unaingia akilini,Askari walewale,as if hakuna aSkari WeNgINE ,,WAende Moshi wakamate,warusi WAende Tabora,warusi WAende Mwanza,,Kwa akili mdogo Tu,kwanini wao Tu? Kunanini? Hawa ninauhakika hawajatumika kiseeikali,hawa NI kikundi cha uhalifu kinachotumia mwavuli WA kipolisi. Nina Imani tusilitupie lawama Jeshi letu la Polisi. Tuzitupie lawama hiki kikundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…