Kesi ya kubambikiwa....

Kesi ya kubambikiwa....

Ujiji

Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
16
Reaction score
2
Mimi nina mdogo wangu ameshitakiwa kwa kesi ya wizi 2500000 n'a tajiri yake,kisha akasweka rumande kwa wiki mbili bila dhamana,baada ya hapo akapelekwa mahakamani pia akakosa dhamana kwahio akapelekwa segerea nako akakaa wiki mbili tena.Baada ya hapo sisi tukapata taarifa kuwa dogo yupo rumande,maana sisi tupo Kigoma dogo yupo Dsm,kwasasa nimemtoa dogo kwa remove order.Pia dogo hajalipwa mshahara wake n'a tajiri yake tokea mwezi wa mwaka jana nane n'a mkubaliano ya mshahara ni 150000 kwa mwezi,so dogo anamdai 1800000,wanasheria hii imekaaje?
 
Mimi nina mdogo wangu ameshitakiwa kwa kesi ya wizi 2500000 n'a tajiri yake,kisha akasweka rumande kwa wiki mbili bila dhamana,baada ya hapo akapelekwa mahakamani pia akakosa dhamana kwahio akapelekwa segerea nako akakaa wiki mbili tena.Baada ya hapo sisi tukapata taarifa kuwa dogo yupo rumande,maana sisi tupo Kigoma dogo yupo Dsm,kwasasa nimemtoa dogo kwa remove order.Pia dogo hajalipwa mshahara wake n'a tajiri yake tokea mwezi wa mwaka jana nane n'a mkubaliano ya mshahara ni 150000 kwa mwezi,so dogo anamdai 1800000,wanasheria hii imekaaje?
Mi si mwanasheria. lakini nina maswali yafuatayo..
1. Kati kudai mshahara na kudaiwa hadi kuwekwa rumande kilianza kipi..?? Inawezekana huyo bosi anataka amdhurumu dogo wako hiyo 1.8M kwa njia ya total cancellation
2. Kuna nini kilitokea hadi dogo awe hajalipwa kwa muda wote huo...? Kimahesabu, ni kuwa dogo hakulipwa miezi 12 ambao ni mwaka mzima...
3. Kwa kipindi hicho cha miezi 12, dogo alikuwa anaishije..??? Maana kuishi Dar muda huo huku hulipwi si mchezo


 
Mi si mwanasheria. lakini nina maswali yafuatayo..
1. Kati kudai mshahara na kudaiwa hadi kuwekwa rumande kilianza kipi..?? Inawezekana huyo bosi anataka amdhurumu dogo wako hiyo 1.8M kwa njia ya total cancellation
2. Kuna nini kilitokea hadi dogo awe hajalipwa kwa muda wote huo...? Kimahesabu, ni kuwa dogo hakulipwa miezi 12 ambao ni mwaka mzima...
3. Kwa kipindi hicho cha miezi 12, dogo alikuwa anaishije..??? Maana j Dar muda huo huku hulipwi si mchezo


Swali namba moja,dogo alawekwa tu ndani bila kosa lolote.
Swalinamba mbili,sehemu wanayofanyia biashara iliugua so tajiri
yake akamwomba akusanye nguvu ili mwisho wa mwaka amlipe deni lake.
Swali namba tatu,dogo aliishije?Tajiri yake alikuwa anampa hela ya kula jioni n'a nauli,kwasababu chai n'a msosi wa mchana huwa anakula hapo kazini kwa tajiri yake.
 
Mimi nina mdogo wangu ameshitakiwa kwa kesi ya wizi 2500000 n'a tajiri yake,kisha akasweka rumande kwa wiki mbili bila dhamana,baada ya hapo akapelekwa mahakamani pia akakosa dhamana kwahio akapelekwa segerea nako akakaa wiki mbili tena.Baada ya hapo sisi tukapata taarifa kuwa dogo yupo rumande,maana sisi tupo Kigoma dogo yupo Dsm,kwasasa nimemtoa dogo kwa remove order.Pia dogo hajalipwa mshahara wake n'a tajiri yake tokea mwezi wa mwaka jana nane n'a mkubaliano ya mshahara ni 150000 kwa mwezi,so dogo anamdai 1800000,wanasheria hii imekaaje?

ol u need is evidence za kutosha.
 
ol u need is evidence za kutosha.

We have everything,what i am asking here if we won the case,how can we sue him?Wengine wanasema nimpeleke idara ya kazi au niwaone haki za binadamu.So nahitaji na hapa GT nipate ushauri wenu.Asanteni!
 
We have everything,what i am asking here if we won the case,how can we sue him?Wengine wanasema nimpeleke idara ya kazi au niwaone haki za binadamu.So nahitaji na hapa GT nipate ushauri wenu.Asanteni!

Ukishinda hiyo kesi unachopaswa ni kumfungulia huyo aliyewasumbua kesi ya madai ambapo atapaswa kukulipa fidia ya kushusha reputation ya huyo mdogo wako na usumbufu mlioupata na effect zingine mlizopata.
 
Ukishinda hiyo kesi unachopaswa ni kumfungulia huyo aliyewasumbua kesi ya madai ambapo atapaswa kukulipa fidia ya kushusha reputation ya huyo mdogo wako na usumbufu mlioupata na effect zingine mlizopata.
Asante,kuna mwanasheria aliniambia hivyohivyo nami niliwaza before hivyo,so nimepata pakuanzia!
 
huna lolote wew na huyo dogo wako wote vibaka tu na hili nimeligundua baada ya kusoma sentensi zako.Hujui kiswshili na kingereza ndo unaharibu kabisa...utasemaje "if we won the case" we mshamba wa lugha kwa ushauri tu achana na hyo kesi nenda darasani kajifunze tofauti ya past na present tenses na pia ukajifunze tofauti ya R na L kwenye kiswahili....go!!!!
 
huna lolote wew na huyo dogo wako wote vibaka tu na hili nimeligundua baada ya kusoma sentensi zako.Hujui kiswshili na kingereza ndo unaharibu kabisa...utasemaje "if we won the case" we mshamba wa lugha kwa ushauri tu achana na hyo kesi nenda darasani kajifunze tofauti ya past na present tenses na pia ukajifunze tofauti ya R na L kwenye kiswahili....go!!!!
You don't have to be like this my dear. Tenses alizotumia na facts alizotoa ni vitu viwili tofauti, kama una ushauri, mpe, kama hauko intrested, usisumbuke.
 
huna lolote wew na huyo dogo wako wote vibaka tu na hili nimeligundua baada ya kusoma sentensi zako.Hujui kiswshili na kingereza ndo unaharibu kabisa...utasemaje "if we won the case" we mshamba wa lugha kwa ushauri tu achana na hyo kesi nenda darasani kajifunze tofauti ya past na present tenses na pia ukajifunze tofauti ya R na L kwenye kiswahili....go!!!!

Sawa hakimu na mtalaamu wa lugha lakini ungenilekebisha hizo pt badala ya kulalamika we alafu unaacha!Nyie ndio watanzania halisi,mti ukianguka na kuziba njia hamuotoi bali mnaanza kuuzunguka mpaka mnatengeneza njia nyingine!Nameless Girl kakujibu kisomi zaidi.Niliambiwa hivi wazee,kila mtu ni mstarabu,anahekima,ana akili lakini tu kama atakaa kimya,kwahio ukitaka umjue mtu elimu,akili,busara,ustarabu,ujinga,ushamba basi subiri akifungua mdomo wake au hata maandishi yake utamtambua tu!Utakuwa unarudia mtihani wa f4,lakini naomba ukamulize mwl. wako kwanini anakwambia repeat again hayo maneno hayafanani?
 
Back
Top Bottom