Kesi ya kubambikiziwa

TEKII1

Member
Joined
Jul 16, 2016
Posts
17
Reaction score
5
Vipi kama nikibambikiziwa kesi Na askari au RAIA yeyote nichukue hatua gain
 
Wajameni wanasheria naombeni msaada wenu!! Nifanyeje ili kufidiwa mda Na madhara mengine yaliyotokana na kesi ya kubakiziwa??
 
...toa maelezo kwa kina, je umeshabambikiziwa hiyo kesi au bado, Kama tayari je imesikilizwa mahakamani?, Na Kama imesikilizwa je umeshinda hiyo kesi?.
Ingawa Kuna ingredients nyingine za Ku prove Kama umebambikiziwa kesi (malicious prosecution) nipe majibu kwanza then tuendelee
 
Ahsante. Ni kweli kesi nimebambikizwa, bado haijasikilizwa bado iko Polisi nazidi kupotezewa mda kwenda Ku Report kila siku jambo ambalo linanifanya niwe na machungu na kunifanya nizidi kutamani kufidiwa
 
Ahsante. Ni kweli kesi nimebambikizwa, bado haijasikilizwa bado iko Polisi nazidi kupotezewa mda kwenda Ku Report kila siku jambo ambalo linanifanya niwe na machungu na kunifanya nizidi kutamani kufidiwa
Kama kesi haijasikilizwa huwezi fungua shitaka la kudai haki kwakuwa suala lako bado mahakama hainatambua Kama Una hatia au lah, cha muhimu Kama issue yako Ni ngumu weka wakili, au nenda vituo vya msaada wa sheria wakusaidie bure usipuuzie.
 
Ki sheria mimi mwenyewe siwezi kufungua kesi mahakamani??
 
Mi niko Kariakoo lakini shitaka bado lipo Polisi Oy ester bay
 
Ki sheria mimi mwenyewe siwezi kufungua kesi mahakamani??
Unaweza na kimsingi wewe ndiye unayeshitaki, lakini kwa sasa huwezi fungua kesi kwa madai ya kushitakiwa kwa makusudi, kwakuwa bado hujaithibitishia mahakama kuwa huna hatia
 
Nilipokuambia tafuta wakili/msaada wa sheria Ni kwa ajili ya kukusaidia kesi yako isiwe ngumu
 
OK! Fine. Kwa mazingira ya kesi lazima niishinde tu!! Najaribu kupata au kutafuta Msaada vipi nita re venge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…