Naomba kuuliza na kusaidiwa:
a)kuna rafiki yangu amesingiziwa kumtukana shemeji yake kwa ujumbe wa simu(sms)
b)alipoenda polisi,na kuandika jalada,polisi wakachukua simu zake mbili kama ushaidi
c)baada ya miezi polisi miwili wakairudisha moja wakabaki na moja
d)kesi ikaenda mahakama ya mwanzo na jamaa akakana kosa,na kama ushaidi polisi wakaileta ile simu
e)na baada ya kujitetea hakimu akusikiliza ushaidi wa mshitakiwa
f)tarehe ya hukumu ishapangwa(09-07-2015)
g)naomba kujua jamaa atahukumiwa kwa sheria hipi na kanuni zipi?ili tuandae rufaa