Kenya 2022 Kesi ya kupinga ushindi wa Dkt. Ruto kuanza kusikilizwa leo kwa hatua ya awali

Kenya 2022 Kesi ya kupinga ushindi wa Dkt. Ruto kuanza kusikilizwa leo kwa hatua ya awali

Kenya 2022 General Election

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Kesi Ya kupinga uchaguzi iliyofunguliwa na Raila Ondinga na Wenzake Dhidi ya IEBC na Wenzake Itaanza Kusikilizwa Leo.
.
Taarifa iliyotolewa Kwa Wananchi wa Kenya na Msajili wa Mahakama juu ya Kenya Ndugu Wachira ni Kwamba usikikilizwaji wa Awali utaanza Leo Sa5 asubuhi Kwa saa za Afrika Mashariki.
.
Kesi itasikilizwa Kwenye Mahakama ya Mlimani Law Courts, Ndani ya Ukumbi Wa Ceremonial Hall.

View attachment 2339335View attachment 2339336View attachment 2339334
 
Supreme Court rejects 3 applications: Ruto's quest to bar LSK from case, Agano's plea to join petition and prayer to lock out individual IEBC commissioners.
 
SCoK allows admission on record replying affidavits of Juliana Cherera-led four IEBC Commissioners.
.
Also SCoK throws out petition by Moses Kuria seeking to throw out of Raila suit.
 
Ndg Linguistic naona unatoa twitter na kuleta reply nzima nzima pasi translation how?.
 
Mwilu
Njoki
Koome

They will rule the same in favor of ..... 😂😂😂
 
Mawakili wa pande Zote wameshajitambulisha
 
Rg ya waliotaka kuwa joined itasomwa kesho
 
Back
Top Bottom