Mkuu si unajua sisi ndo watalaamu wenyewe ila jamaa alikuwa anaweka mambo sawa si unajua nyota yake imechafuka sana watu mnashindwa hata kujitokeza kumdhamini angalau tu afikishe nusu....hahahahahaLOL! Fidel80 umejuajee? mlikuwa wote huko nini?
Jamani nauliza huyo aliesaidia kumpata alipewa hilo donge au??
Du ngomanzito mbona hii ni kubwa sana?? imekuwaje sasa hata akaahirisha safari muheshimiwa huyu?
kama alivyosema kardinali pengo pamoja na mabaya yake ya kumkumbatia mkapa ni kweli, nchi inaongozwa na magazeti au tuseme vyombo vya habari, judiciary, executive even parliament hamna kitu. vyomba vya habari walishamhukumu katoroka, ukiacha hili kuna mengi tutajilaumu
Hatimaye kile kitendawili cha ni wapi alipo mshitakiwa Liyumba kimeteguliwa.Hivi ninavyo post thread hii mshitakiwa amefikishwa mahakamani kisutu na maafisa wa TAKUKURU.
Atapandishwa kizimbani muda si mrefu na ndipi itajulikana kama anafutiwa dhamana au la.Stay tuned!