Kesi ya Liyumba, Utata na Maendeleo yake

Status
Not open for further replies.
Taarifa nyingine toka Bongo (bado sijaithibitisha), ni kwamba Bw. Liyumba amelazwa hospitali (sijajua hospitali gani) akiwa hoi baada ya blood pressure kupanda.
 

duh kumbe hiyo hata iliisha muda tu, tangu Feb mwaka juzi... kweli hili movie
 
Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!
 
Hii SIRIKALI kazi kweli kweli imeshaambukiza ukimwi na yenyewe.

SAHIBA.
 


are you serious Mkapa anaheshimiwa, na nani ? nnavyo jua mimi anazomewa kila anapokwenda ama kama unamchanganya na Mzee Mwinyi,

SAHIBA,
 
Yupo dar wakuu ila ni kweli afya na mshituko vyaweza kutupatia sura mpya juu ya hatima ya maisha yake na mwenendo mzima wa kesi, tumuombee mungu amponye ktk kipindi kizito cha maisha yake.

Lakini naamini hakimu mama hadija msongo naye yuko matatani ktk hili.
 
are you serious Mkapa anaheshimiwa, na nani ? nnavyo jua mimi anazomewa kila anapokwenda ama kama unamchanganya na Mzee Mwinyi,

SAHIBA,

Tupo ambao bado tunampa heshima yake kwa yale mazuri aliyojitahidi kuyafanya ingawa tunatatizwa sana na mabaya anayosemekana kuyafanya yeye kama mtu binafsi na yale kama kiongozi wa CCM.

Omarilyas
 
Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!

inaweza ikamchukua wiki kadha ila itategea na maelezo ya daktari(nephrologist) wake.
 
Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!

Hapana, wala tatizo si hilo. Baada ya kutoka alikwenda kwa mganga wake bagamoyo, akaambiwa kuna shari la kuwekwa ndani kwa siku kadhaa, akakubali. Hivyo siku akiachiwa na mganga wake mtamuona na hiyo itakuwa kabla ya Feb 24
 
Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!

...ndio kusema, mzee wa mahenge yupo kwenye Dializer, ambayo huchukua kati ya masaa mawili mpaka manne kwa session moja ya Hemodialysis. inategemeana na dakitari kashauri afanyiwe ngapi wiki hii... fingers crossed!
 

tuache majungu,mtu kuwa na pesa haina maana kaiba....umaskini wetu usitufikishe mahali tukawa na mawazo kuwa kila mtanzania mwenye pesa basi amefanya ufisadi,ulitaka noni ashitakiwe kwa kosa lipi?...kuuza hisa zake kwa rostam?....usikurupuke kuhukumu watu bila kujua utajiri wameupata vipi,....!
 
Habari za uhakika zinaeleza kuwa Amatus Liyumba ame'skip bail'
 
Kamanda post hii ipo zaidi ya masaa 3, pitia utaona
 
Ndugu wananchi msiwe na wasiwasi mkuu AL atarudi tu, kuna ka-prosidya kadogo ka-tiba kanafanyika... kwani HEAMODIALYSIS huwa inachukua muda gani, nafikiri wataalam wa afya watatusaidia hapa!
Kwa ni kweli yuko Dialysis then yuko Regency Hospital, by the way asilimia kubwa ya wagonjwa wanaofanyiwa Dialysis hapo Regency hatima yao huwa siyo nzuri. Wagonjwa wengi wa figo huenda India na huko ndiko matatizo hayo huonekana. Full circle ni masaa 4. Kwa vile Liyumba hajafanya siku nyingi hiyo Dialysis, hawezi kuanza na ful session, lazima aanze na masaa 2 next round ndio full circle. Watu wa dialysis ya HIV ya ukweli huifanyia London, hata hivyo afya zao bado zinatetereka kwa miili yao kupoteza nuru ya maisha (life force).
 
Kuna habari ya kwamba Liyumba ametoweka hajulikani alipo na wadhamini wake wamewajibishwa kwa kuwekwa ndani.MICHUZI
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…