Kesi ya Lulu: Polisi asema alikuta chupa ya Jack Daniel na Panga kwenye tendegu la kitanda

Ile bhana hakujinyonga alikufa nyumbani kwake kwa shinikizo la damu mkuu au nimekosea?
 
Ile bhana hakujinyonga alikufa nyumbani kwake kwa shinikizo la damu mkuu au nimekosea?
ni kweli...alifia hotelini.
aliua kwa kukusudia ila sabb ana mkono mrefu wakambadilishia ikawa bila kukusudia..kisa kijana ni mnyonge tu
ila Mungu hachezewi..nae kaenda.

sasa tatizo huyu lulu labda angekuwa mbunge....ni mtoto wa kapuku tu huko..atatoa nini serikali imsamehe?
pia kanumba ni mtu maarufu sana..
 
Ditto was provoked.
 
Acha uongo Dito hakujinyonga
 
Daaah ila kweli. Hivi ile ya Dito sio wanafamilia walifanya yao kweli? Ila Kanumba bhana jamaa alikufa na soko la bongo muvi. Hakunaga tena kukua kwa sanaa ya uigizaji wala nini wamebaki wapiga kelele na mabishoo akina Ray & co.
 
Tendegu msamiati mpya[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Daaah ila kweli. Hivi ile ya Dito sio wanafamilia walifanya yao kweli? Ila Kanumba bhana jamaa alikufa na soko la bongo muvi. Hakunaga tena kukua kwa sanaa ya uigizaji wala nini wamebaki wapiga kelele na mabishoo akina Ray & co.
ditto alikua mkuu wa mkoa..kama leo bashite na magu..
bashite akiua unadhan itakuwaje?
ndugu hawana nguvu kivile..ila cheo na rushwa..
kuna uzi nimekutag..angalia
 
Mkuu hivi ikitokea shahidi kwa upande wa mashitaka hajatokea zaidi ya mara 3 inakuaje. .?
Mana mjomba wangu ananyea ndoo mwaka wa 3 huu kesii ya kuua .Tarehe ya kesii imepangwa zaidi ya mara 3 shahidi upande wa hao washitaki hajatokea
 
Mkuu hivi ikitokea shahidi kwa upande wa mashitaka hajatokea zaidi ya mara 3 inakuaje. .?
Mana mjomba wangu ananyea ndoo mwaka wa 3 huu kesii ya kuua .Tarehe ya kesii imepangwa zaidi ya mara 3 shahidi upande wa hao washitaki hajatokea
ataachiwa huru....kama mna mwanasheria atawasaidia..bila ushahidi watamhukuje?
 
ditto alikua mkuu wa mkoa..kama leo bashite na magu..
bashite akiua unadhan itakuwaje?
ndugu hawana nguvu kivile..ila cheo na rushwa..
kuna uzi nimekutag..angalia
Yaaaah nakumbuka alikua mkwe kwa Mjomba kitu kama hicho. Sasa makapuku mtasema nini? Maisha haya mwanangu ngoja tu tupambane nayo kibishi!
ditto alikua mkuu wa mkoa..kama leo bashite na magu..
bashite akiua unadhan itakuwaje?
ndugu hawana nguvu kivile..ila cheo na rushwa..
kuna uzi nimekutag..angalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…