mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Maana naona mtu anajiachia tuuu mjini as if nothing happened in April 2012. Wataalamu wa mambo ya sheria njooni hapa mtufahamishe, dhamna imekua kama kuachiwa huru? Tunamkumbuka sana Kanumba na tungependa ukweli ufahamike juu ya kifo chake.
Nimemaliza.
Nimemaliza.