Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Ndugu zangu naomba kuuliza:
1.Kesi ya maslahi ya wanahisa wa kampuni inaanzia kusikilizwa mahakama ipi?
2.inaweza endeshwa na wanahisa wenyewe bila wakili?
ASANTENI SANA.
1.Kesi ya maslahi ya wanahisa wa kampuni inaanzia kusikilizwa mahakama ipi?
2.inaweza endeshwa na wanahisa wenyewe bila wakili?
ASANTENI SANA.