Nitajibu suala la pili. Kutokana na suala hili kuhusisha maandishi Kwa kiasi kikubwa ni vema mkatumia mawakiri Ili msije mkaingia kwenye mitego yakisheria na mkapoteza haki zenu.
Nitajibu suala la pili. Kutokana na suala hili kuhusisha maandishi Kwa kiasi kikubwa ni vema mkatumia mawakiri Ili msije mkaingia kwenye mitego yakisheria na mkapoteza haki zenu.
Suala la mikataba ikiwa ni pamoja na mambo ya hisa huwa linakuwa na "technical issues" kadhaa, hivyo ni vema mawakili wakahusishwa, vinginevyo mnaweza kujikuta mnaangukia pua.
Suala la mikataba ikiwa ni pamoja na mambo ya hisa huwa linakuwa na "technical issues" kadhaa, hivyo ni vema mawakili wakahusishwa, vinginevyo mnaweza kujikuta mnaangukia pua.