Kesi hii haisikilizwi mahakamani ilikwisha hitimishwa walipofungwa wengine mwaka jana, sasa ni taratibu tu za kimahakama, ambao hawataridhika wakate rufaa.Kupuuza resentments za watu si jambo la afya.
Yamesemwa mengi, au labda wakuu hawafikishiwi?...
Kwani aliyetamka nani?kwa hiyo na mahakama ni "mchongo"?!
hawa wafuasi wa mboe wanadhalilisha mamlaka sana! dawa yao inaendelea kuchemka.
Hii kesi Mama Samia kupitia kwa DPP aachane nayo, itaianika Serikali yake vibaya na Jaji anayesikiliza ana wakati mgumu mno, tumhurumie.
Ila ajue naye mwisho wake utakuwa mchungu kuliko wa huyo mtangulizi wake. Mungu hadhihakiwi,wanatumia mamilioni ya kodi zetu kutunga kesi hii na kuwatesa watu wasio na hatia ili kufikia malengo yao ya kishetani Mungu hawezi kuwaacha lazima watapata pigo kubwa sana.Hii kesi ni ya kimkakati na tayari hukumu wanayo mifukoni! huyo bibi ni shetani zaidi ya mwendazake.
Hii kesi ni ya kimkakati na tayari hukumu wanayo mifukoni! huyo bibi ni shetani zaidi ya mwendazake.
Ila ajue naye mwisho wake utakuwa mchungu kuliko wa huyo mtangulizi wake. Mungu hadhihakiwi,wanatumia mamilioni ya kodi zetu kutunga kesi hii na kuwatesa watu wasio na hatia ili kufikia malengo yao ya kishetani Mungu hawezi kuwaacha lazima watapata pigo kubwa sana.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Jaji anapelekeshwa kama houseboy wa mhindi.Hii kesi Mama Samia kupitia kwa DPP aachane nayo, itaianika Serikali yake vibaya na Jaji anayesikiliza ana wakati mgumu mno, tumhurumie.
Amani ya Nchi ni ya Muhimu zaidi kuliko mboe na genge lake.Hii kesi Mama Samia kupitia kwa DPP aachane nayo, itaianika Serikali yake vibaya na Jaji anayesikiliza ana wakati mgumu mno, tumhurumie.
Amani ya Nchi ni ya Muhimu zaidi kuliko mboe na genge lake.
Mpaka kielewekeKupuuza kutoridhika (resentments) kwa watu si jambo la afya.
Yamesemwa mengi, au labda wakuu hawafikishiwi?
Misahafu inasema, ukweli usiposemwa itafika wakati hata mawe nayo yataongea.
Hatimaye mawakili wa serikali wameyatamka mahakamani wao wenyewe:
View attachment 2029183
Bila shaka sasa habari hii itakuwa imeeleweka vyema zaidi kwa mawakili hawa na pia imewafikia Jaji Tiganga na wakuu serikalini.
Kwani enyi mnaojitabaisha kwa jina "serikali," mnamwakilisha nani?
Kumbukeni, kesi hii huku mtaani inawachafua.
Habari ndiyo hiyo.
-------
Kesi ya Mbowe: Mchezo wa Paka na Panya kwa Maslahi ya nani?
Mbulu kenge wewe ambaye hata kiandika hujui !!Unauwezo kuwafanya nini zaidi ya kujikomba hapo LUMUMBA upate kula!!kwa hiyo na mahakama ni "mchongo"?!
hawa wafuasi wa mboe wanadhalilisha mamlaka sana! dawa yao inaendelea kuchemka.