Kesi ya Mbowe: "Mahakamani si kwa Mama zetu"

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Barua hii kumhusu Komando Ling'wenya itakuwa imeutafsiri uwanja mzima rasmi kabisa kwa jinsi ulivyo.

Hakuna kisichofahamika tena. Hii ni vita kamili.

Vita vya haki dhidi ya dhuluma. Vita vya wanaothamini haki za watu yakiwamo maisha ya akina Luteni Urio, Moses Lijenje na wenzao, dhidi ya wenye ubinafsi wao wenye kupitiliza.

"Vita ni vita Mura!"

Tumesikia "mahakamani si kwa mama zetu." Bila shaka "mahakamani ni kwa mama zao." Wao pia, kumbe ni mawakili wa mahakama.

Zimeombwa tu, Movement Order (MO), Station Diary (SD) na Occurrence Book (OB) kwa ajili ya kumkagua D/C Msemwa. kimeumana! Hakuna kuwaachia.



"Waombeni pia na ma CCTV recordings njia yote RAU - Moshi - Arusha - Dar - Mbweni. Pia data kama hizo tokea makampuni ya simu."

Ipelekwe miito ya kuwaita wote na vyote vinavyoweza kusaidia kuthibitisha lolote. Asiachwe mtu au kitu tafadhali.

Iwe ni Hangaya, Sirro, Urio, Ahadi, Chungulu, Sabaya, Lijenje, nk. Tuonane Kizimbani. Vigezo na masharti yakizingatiwa.

Wanahofia nini nyendo za D/C Msemwa kuhakikiwa?

Si kuwa ni kwa sababu: "the guilty are always afraid?"

--------
Kesi ya Mbowe: Kwa minajili ya haki Mbivu na Mbichi zote zianikwe
 
Hakika!
 
Si tu haki itendeke, Bali lazima ionekane imetendeka;
1.Ipatikane print out ya mwenendo wa simu za Kingai, Jumanne, Mahita na Msemwa tarehe 05-10/08/2020.
2.CCTV footage za pale central DSM Kwa tarehe hizo hapo juu.
3.Duty roster, OB, RB, PPR na MO za central Kwa tarehe hizo.
 

Tupo pazuri. Hakuna kurudi nyuma.
 
Ndiyo maana nilipingana sana na waliotaka hii kesi ifutwe, wacha madhalim waumbuke na upumbavu wao. Wacha upepo uvume tuzione nyeti za kuku.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo maana nilipingana sana na waliotaka hii kesi ifutwe, wacha madhalim waumbuke na upumbavu wao. Wacha upepo uvume tuzione nyeti za kuku.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app

Walidhani wata m isolate Mbowe. Kimeumana.

"Wacha upepo uvume tuzione nyeti za kuku πŸ˜‚πŸ˜‚."

Cc: zandrano
 

Weka nyama kidogo zaidi mkuu. Jaji anasema mmeniacha hapo:

Nini PPR?
 
Hiyo barua ikipokelewa kesi ndo basi tena, katika lugha ya mpira tunasema wa mefungwa hatrick, hapo Jaji anapambana ili asiipokee hiyo barua, kwa kuwapa mawakili wa mshitaka mda kutoa hoja , ila wanatoa maoni bila vifungo vya sheria, ila sijui itakua je kama jaji ni kwaibika ni hapo hapo kwenye hiyo barua.......mashahidi wao wengi walushajikanyaga kwa kusema uongo ukileta MO SD na CD vitagongana ile hatari bora wakatae hiyo barua mapema Chavula kasha chemka kaanza kua emotional kasha zidiwa eti yeye ni mtetezi wa mahakama, na ameanza misemo ya kihuni eti mahakama sio mama ako......
 
Hiii ngoma wasipo kaa vizuri SSH atasimama kizimbani bila kujali cheo chake binadam wote ni sawa Mbele ya SHERIA na ndo itakua kipimo kamili Cha kupima mahakama zetu, ACHA walete mchezo ,mawakili upande wa utetezi Wana calculation za mbali Sana ,sio watu wa mchezo ,wanapenda kazi yao na wanaifaham ,twende tu, naota tu hii kesi inaweza KWENDA funja record tz na kuacha aibu kubwa
 
Day dreaming this is Africa dude mambo kama hayo haiwezi kutokea kabisa sahau kabisa
 
Barua ina content gani yenye dhahama kwa serikali? Mtujuze tuliopitwa na nyeti za kuku

Barua hii inamwomba RPC Ilala kuwasilisha mahakamani:

"Mazaga zaga kadhaa zikiwamo kumbukumbu za Movement Order (MO), Station Diaries (SD) na Occurrence Books (OB) kwa ajili ya kuhakiki nyendo za D/C Msemwa."

Barua hii ikipita, RPC Ilala "atake asitake" itabidi tumpe mitano mingine 😁😁.

Hiiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…