Kesi ya Mbowe na Makomandoo unaweza kudhani Mawakili wa serikali na wale wa kujitegemea wanasoma vyuo tofauti

Kesi ya Mbowe na Makomandoo unaweza kudhani Mawakili wa serikali na wale wa kujitegemea wanasoma vyuo tofauti

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Zamani sheria ilifundishwa pale UDSM " Mlimani" na IDM Mzumbe na kwa wakati ule tuliweza kuwatofautisha wale wa Mlimani na Mzumbe.

Kwa sasa vyuo vya sheria ni vingi sana kikiwemo kile cha mahakama Lushoto, Tanga.

Ninapofuatilia hii kesi ya Mbowe mahakama ya mafisadi nawaona mawakili wa utetezi wanajimwambafy na kuonyesha uwezo mkubwa wa kuhoji, kuuliza maswali na kuwapumbaza mashahidi.

Yaani kila Wakili anayeingia anaonekana ni mzuri kuliko aliyetangulia, hasa yule Mangula wa kwetu Ilembula.

Kesi hii inatufundisha mambo mengi likiwemo ubora wa kujiajiri.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kesi ya michongo inahitaji uwe umejipanga hasa.

Mashahidi walijikita kwenye kupika details tu ndio maana wakibanwa na maswali kidogo, wanajikuta wanaumwa kichwa gafla na kubanwa na mkojo.
 
Back
Top Bottom