Kesi ya Mbowe na wanasheria wa Tigo na Airtel ikumbushe wenye mamlaka kutunza siri za wateja ni muhimu kujenga sekta imara ya benki na mawasiliano

ulilosema ni kweli, ingekuwa kule kwa wenzetu,TIGO leo angeshalia mno kwa kukimbiwa na wateja, pia kushtakiwa mahakamani
 
Kwa hiyo polisi waombe idhini kwa mhalifu ili wamchunguze?
Yap! Taratibu za kisheria ziko hivyo, na mahakama itatoa amri, then uchunguzi unafuata.

Ila kibongobongo Polisi akitaka details, wahusika faster Kama upepo wanazitoa!!

Kama sheria zimewekwa kwa nini upande mmoja uzivunje makusudi?
Kama zina ukakasi wazitoe kabisa
 
Bubge halijawahi tunga sheria zaidi ya kupitisha kwa ndio miswada ya wizara
 
Una uhakika sheria yetu ipo hivyo? Au unazungumzia sheria za wenzetu

Sheria yetu inataka tu sababu na ndicho hicho mawakili wanachombana shahidi kwa nini ametoa taarifa bila kuambiwa sababu
Na hiyo sio kwenye Makampuni ya cm tu hata kwenye Mabenki yetu ni hivyo hivyo ndio maana kuna kipindi watu walikuwa wanalalamika kuchukuliwa pesa zao na TRA kutoka kwenye akaunti zao bila ridhaa

Kwa hiyo hapo tatizo ni sheria zetu sio tigo
 
Sawa. Nimekupata.
Kama " There is NO ONE"
Then hakuna uchunguzi.
Maana hata ingekuwa Mahakama ni Refa btn maadam ni chombo cha serkali wanaweza kuomba taarifa kupitia mahakama kwa WELIDI au Pasipo WELIDI
 
Imekaa vzr
 

kama umeshindwa kuwa na imani na mtumishi mmoja wa taasisi nje ya mahakama,nikukumbushe tu mahakama haiwndeshwi na malaika kuna watumishi hawa hawa msiokuwa na imani nao.

tuacheni kutafuta vichaka kwenye matatizo.
 
Kukwepa haya ni kutumia Whatsapp calls na calls za app nyingine. App kama snapchat hata sms ikishafunguliwa inapotea.
 

ulitaka tigo wakubembeleze kwa uongo!!!weww kama ni mzee wa vimeo na unahisi usalama ni sifuri kuwepo tigo unaweza watema tu.

nenda hata benk kaulizie taarifa za mtu uone kama utapewa hata majina yake matatu.
ila polisi wakienda ni sekunde tu wanapewa.

hawawezi kwamisha upelelezi kwa kigezo cha privacy,privacy inadai wajibu kwanza ndipo isimame.
 
Mfano wako mbona ni tofauti... Umeongezea facts mpya...!
Kutaka kuua. Majambazi...
Je, kwenye namba ya Mbowe na transactions zake umesikia kokote kuwa alitaka kufanya hayo??
Kama umeiita ile ni "fact"
Baadae uchunguzi utakuja kuprove Mbowe si Mhalifu.
Then its over
 
Naona tuna Kizazi cha ajabu hujawahi kuona.
1. Kizazi chenye ushabiki tu
2. Kizazi kisichohoji logic
3. Kizazi kisicho weledi kazini
4. Kizazi kinachotumia madaraka vibya
5. Kizazi kisichotaka kujua serkali inafanyaje kazi zake.
6. Kizazi kisichohitaji kuwajibika
 
Wakaipeleka Israel ikafunguliwa.
 
Yaani mi nashindwa kuwaelewa watu,inamaana kama kuna gaidi linataka kulipua nchi asifuatiliwe mawasiliano yake kisa usiri?hakuna kitu kama hicho na mkumbuke kuna taasisi zilizopewa mamlaka haya kisheria ambao ni Polisi,Takukuru,hawa wanauwezo wa kuchunguza au kufuatilia kama kuna Jambo linaloweza kuhatarisha uslama wa raia na mali zao,sio kila mtu tu akiamua anaenda voda au tigo kuomba report ya mawasiliano yako NOPE.
 
Kampuni za simu huwa wanasikiliza maongezi ya wateja wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…