Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

Kwa jinsi mahita kingai walivyofanyia unyama walinzi wa mbowe kuwafunga pingu mikono miguu saa 24 kila siku kuwapiga kuwatesa kumporeza Moses lijenje lt urio kwa kesi hewa tuhuma hewa feki ugaidi ambao hawana haupo ni lazima Asikari wa jwtz wajisikie vibaya kwani ni udhalilishaji wa kiwango cha kutisha sana
 
Amani ya nchi yoyote ile hulindwa kama mboni ya jicho.
sasa ole wake ujaribu kuchezea amani ya nchi utajuta!!!
unaweza kuchezea kitambi chako au kidevu chako lkn kamwe usijaribu kuchezea AMNI ya Nchi.
Unaomba utapata halafu uje tena hapa.



Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Kuna siri gani ya nchi hapo?
Kufukuzwa kwa makomandoo wawili jeshini au??
 
Asikari mstaafu yupo huru kufanya kazi popote pale ili mladi anafuata Sheria za Nchi , Tambua kuwa kesi ya mbowe ni ushauri wa Sabaya kwa magufuli ambapo alipokea ushauri wa hovyo pasipo kutafakari kabla matokeo yake wanatengeneza kesi za kijinga kwenda kuwaonea walinzi wa mbowe kuwaua wengine kwa mateso ya kuwalazimisha waseme ugaidi feki ugaidi hewa ni vitendo vibaya kupata kutokea Nchini na itazidisha chuki tokea kwa wapenda haki za binadamu.
 
Kuna siri gani ya nchi hapo?
Kufukuzwa kwa makomandoo wawili jeshini au??
Walifukuzwa wapi? na ugaidi wenyewe upo wapi? aliyetengeneza kesi ya ugaidi hewa ugaidi feki ndiyo mtu mpumbavu na Siri za Nchi ni pamoja na kuwadhalilisha Asikari hata kama ni mmoja tu, ebu tuambie alipo Moses lijenje na Lt Urio kwanza?
 
Hii kesi iko vibaya.Ukisema umfunge ni kashfa na ukimwachia pia kashfa.
Hapo mwisho watendaji watajikuta wanabeba zigo ili kuisafisha system maana system italazimika kutenda haki kusafisha wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…