Ninaomba nirekebisha kidogo! Hawa wamejaa misuli ya ukamataji na ni wataalamu waliobobea wa kiintelijensia hasa inapohusu vyama vya upinzani. Inteligensia inayowapiga nusu kuputi wanapoona chama tawala wanakutana au kufanya maandamano! Hawa police wetu ni magenious!Hapo sasa umewaonea, ngoja niwatetee kidogo.
Hivi ndivyo ilivyokuwaNimeamini maneno aliyowahi niambia afisa mmoja toka JWTZ , kwamba makomadoo hutumia mifumo ya faham yote katika mazingira flani , Makomando ni akili KUBWA aisee, ADAMO ,namtangaza kuwa mwanafamilia yetu ,tutamtunza KWa wivu mkubwa na familia yake Hata hapo tukiwa madarakani,
Hata ukisema tumbili na sokwe
Ndio mfumo uliopo
Ulitegemea tuwe na mfumo gani wa mahakama? Za kivyama?
Hii ikienda hewani Madhara yake kwa Jeshi la Polisi Yatakuwa Ya MileleHivi ni kwanini kesi hizi zisirushwe live ndug zangu inashindikana nn
Jehanamu ulishafika?Huwezi amini kama upo Tanzania asee ni zaidi ya jehanamu
NdiyoJehanamu ulishafika?
Ha ha haaaa. Sasa kama kitu hujui ukikaa kimya ni dhambi?Lisu hakukamatwa!
Yeye anasema alipigiwa simu ya vitisho ndio akafungasha virago kukimbilia ubalozini!
Hakuna balozi yeyote mwenye ujeuri wa kwenda kumtoa mtu kituo cha polisi,
Walichofanya wale mabalozi ni kumsindikiza Lisu kutoka ubalozini hadi Airport basi!
Lisu hakukamatwa popote!
Alikuwa na hamu ya kurudi kwa Amsterdam ndio akatengeneza ile movie ili apate uhalali wa yeye kurudi ublegiji
Who are you by the way?Basi kwa huo uliopo ni vizuri mkafahamu wazi wazi kuwa haturidhiki nao iwe maamuzi ni -ve au +ve jana, leo au kesho.
Ndiyo maana hatuuafiki, hatuutaki, hatuna imani nao, haufai, hauwajibiki kutenda haki, ni wa kikandamizi, ni wa kidhwalimu, una mianya mingi ya kuhalalisha maelekezo kutoka juu, nk.
Ndiyo maana katiba mpya ni muhimu na ni suala la dharura sana kuliko huo uchumi wake anaodai kutaka kuusimamisha kwanza.
Who are you by the way?
Kama huutaki pole ndio mfumo uliopo hadi hapo changes zitakapotokea
Gaidi haangalii katibaAnd who are you as well? That makes the two of us.
Haturidhiki nao na ndiyo maana tunataka mpya ambayo ni haki yetu.
Hata chimbuko la kesi hii ni harakati za kuukataa mfumo mbovu huu uliopo, hata mtoto mdogo anajua.
Habari yenyewe ndiyo hiyo.
Gaidi haangalii katiba
Up your game
Wacha yawe ndio watakua makini kutoonesha upumb*vu wao wa wazi wazi sasa hivi wanachukulia kama ni kichaka cha wao kufanya mambo ya Ajabu Ajabu kama wanaofanya baadhi yao kweny hii kesi ya.,.....Hii ikienda hewani Madhara yake kwa Jeshi la Polisi Yatakuwa Ya Milele
Unalala usingizi because polisi na Majeshi yote ya ulinzi na usalama yanakeshaIla Adamoo kaonyesha wazi wazi gaidi ni Kingai na wenzake.
Magaidi yaliwateka yakambambikizia bastola, madawa ya kulevya na vipigo juu.
Ukipenda meza au tema yote ni uamuzi wako.
Kesi yooote wewe kaziyako ni kuhesabu wazungu... dah!!Naona kuna Wazungu Wawili mahakamani!