Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yaahirishwa. Kuendelea Jumatatu ya tarehe 27/09/2021

Aisee kumbe kweli hawa jamaa ni Makomandoo
 
Policcm wanatesa ,wanapoteza na kuua wananchi na kupora Mali zao kwa manufaa ya nani?
 
Kuna watu hawaelewi kinachoendelea hapa?Mwaka mmoja umepita tangu hawa jamaa wakamatwe.Walikuwa LOCKUP.Swali la kujiuliza ni watu wangapi wako LOCKUP sasa hivi kwa kesi ambazo sio za kisiasa lakini bado ni za kubumba?Kuna haja ya kuwa na POLICE OVERSIGHT COMMISSION ambayo itakuwa independent.

Mimi binafsi natamani kuona PICHA ya MTOTO wa MAHITA nione kama ameshiba RUSHWA au la.
 
Jamaniii
Yaani hawa polisi sio wanadamu kabisa... Its touching kumfanya mwenzako kama mnyama. Ndio maana Kingai kamwambia Mh Mbowe nakupa kesi ya ugaidi?? Maana alisha iandaa.. Mungu amlaani Kingai na kizazi chake hadi cha kumi. Mbwa kabisa huyu
 
Mahita ni kati ya makada wa CCM waliojilimbikizia mapesa na Mali nyingi za rushwa.
Hii ndio Tanzania ya CCM. Hawataki katiba mpya ili waweze kurithisha watoto wao madaraka tuu mana pesa wanazo nyingi ila wanajua Demokrasia ya kweli itawatupilia mbali watoto wao wasio na sifa na uadiifu. Kizazi kiovu kimefanikiwa kuwaongoza watu weme kiwendawazimu.
Ni Mungu pekee atakayelinusuru Taifa hili lenye siasa chafu.q

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…