LGE2024 Kesi ya Mdude Nyagali dhidi ya RPC wa Songwe imeahirishwa, kusikilizwa tena Novemba 28 na Jaji Pomo

LGE2024 Kesi ya Mdude Nyagali dhidi ya RPC wa Songwe imeahirishwa, kusikilizwa tena Novemba 28 na Jaji Pomo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Kesi ya Mdude Mpaluka Nyagali dhidi ya RPC wa Songwe imeahirishwa. Kesi hiyo, ambayo ilikuwa ikitarajiwa kusikilizwa leo tarehe 26 Novemba 2024, sasa imepangwa kusikilizwa tarehe 28 Novemba 2024 mbele ya Jaji Pomo katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Mbeya.

Soma, Pia: Mdude amburuza kortini RPC Songwe, Mwabukusi kumuwakilisha katika kesi hiyo
1732619276078.png
Kesi ya Mdude Mpaluka Nyagali ambayo ilikuwa inakuja kusikilizwa leo tarehe 26 Nov.2024 imeahirishwa na itakuja kusikilizwa tarehe 28 Nov.2024 Mbele ya Mh.Jaji.Pomo .Katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Mbeya.
20241126_144148.jpg
 
Wakuu

Kesi ya Mdude Mpaluka Nyagali dhidi ya RPC wa Songwe imeahirishwa. Kesi hiyo, ambayo ilikuwa ikitarajiwa kusikilizwa leo tarehe 26 Novemba 2024, sasa imepangwa kusikilizwa tarehe 28 Novemba 2024 mbele ya Jaji Pomo katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Mbeya.

Soma, Pia: Mdude amburuza kortini RPC Songwe, Mwabukusi kumuwakilisha katika kesi hiyo
Kesi ya Mdude Mpaluka Nyagali ambayo ilikuwa inakuja kusikilizwa leo tarehe 26 Nov.2024 imeahirishwa na itakuja kusikilizwa tarehe 28 Nov.2024 Mbele ya Mh.Jaji.Pomo .Katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Mbeya.
View attachment 3162113
Nilijua na nilisema hakuna jaji wa kutenda haki, hakuna jaji ni shyster judges......niliandika tangu zamani...soma chini hapo

 
Back
Top Bottom