Benno Bongo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 620
- 704
Gazeti la lini hiliKuna habari kuwa aliyekuwa mke wa Mengi ameshinda kesi hivyo amekabidhiwa urithi wote ulioachwa na Mengi.
Mwenye taarifa zaidi atujuze kulikoni!
View attachment 2336443View attachment 2336444
Jana tar 26Gazeti la lini hili
Kuna habari kuwa aliyekuwa mke wa Mengi ameshinda kesi hivyo amekabidhiwa urithi wote ulioachwa na Mengi.
Mwenye taarifa zaidi atujuze kulikoni!
View attachment 2336443View attachment 2336444
Umesoma habari yote?Siyo kweli, nadhani kiingereza cha hilo gazeti kimekushinda kidogo.
Kuomba review sio kushinda kesi bali kufanya mapitio ya hukumu.Kuna habari kuwa aliyekuwa mke wa Mengi ameshinda kesi hivyo amekabidhiwa urithi wote ulioachwa na Mengi.
Mwenye taarifa zaidi atujuze kulikoni!
View attachment 2336443View attachment 2336444
Umesoma habari yote?Kuomba review sio kushinda kesi bali kufanya mapitio ya hukumu.
Baada ya review ndiopo mahakama inaweza kutengua hukumu hivyo kuelekeza kesi ifanyiwe mapitio upya na hukumu mpya itolewe.
Nafikiri ndicho kilichotokea
Hili jambo linafikirisha sana, linatupa funzo kwa wenye wazazi wazee hasa wenye hela inabidi kukaa nao kwa tahadhari sana na kumonitor mienendo yao bila hivyo wanaaibisha familiaKila mali ya mzee mengi ikiwemo na ya bii mkubwa aliye tangulia mbele ya haki inawekwa mezani na kugawanywa upya, chezea jaq wewe, wao walianza na yeye anawamaliza, ila huyo mzee alikuwa ndina kweli kweli, tamaa zake zimeiletea familia shida na karaha tupu
Mimi siongelei hiyo habari uliyoketa, naongea kulingana na uhalisia wa kesi ilivyotelewa hukumu kwa chanzo kingineUmesoma habari yote?
Kuna wazee wengine hawapendi kuwashirikisha watoto zao kwenyeHili jambo linafikirisha sana, linatupa funzo kwa wenye wazazi wazee hasa wenye hela inabidi kukaa nao kwa tahadhari sana na kumonitor mienendo yao bila hivyo wanaaibisha familia
Hapo noma, hawa watoto wa Mengi wasipokuwa makini watakuja kuomba ajira kwa JackKuna wazee wengine hawapendi kuwashirikisha watoto zao kwenye
Mambo yao ya kifedha nk
Ova
Hataweza wamachame weweKila mali ya mzee mengi ikiwemo na ya bii mkubwa aliye tangulia mbele ya haki inawekwa mezani na kugawanywa upya, chezea jaq wewe, wao walianza na yeye anawamaliza, ila huyo mzee alikuwa ndina kweli kweli, tamaa zake zimeiletea familia shida na karaha tupu