Mwizi wa mafuta ndio huyo huyo anamiliki mahakama zote nchini, usitegemee kesi yoyote hapo.Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sanku
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
Watu wanataka uongozi watajirike wao na familia zao kwao maendeleo ya nchi siyo kipaumbele Chao,hii ni afrika ujinga Kila mahali.kama mnavyoona.
Kesi ngumu hizo mtandao mrefuTumjue aliyewakamata (ambaye bila shaka atakuwa Jeshi la Polisi), halafu atuambie wale wezi wetu wako wapi?
Hiyo ipo mahakamani na inasomwa kila maraOngeza na kesi ya Mkurugenzi Temeke na mratibu miradi wa DMDP nayo hatujui imeishia wapi
Watuhumiwa wako gereza lipi?Hiyo ipo mahakamani na inasomwa kila mara
Kesi yao ipo mahakama ya kisutu,Naombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sanku.
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe ni mgeni na Tanzania? Angekuwa Mpinzani ndio KAIBA Mafuta ingetangaza Nchi nzimaNaombeni kujuzwa maana mpaka Sasa hivi naona kimya tu sijui Kama walikamatwa wakapelekwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Maana kwa kweli kuiba mafuta sio tukio dogo linahatarisha usalama wa watu mafuta ni hatari sanku.
Kukaa kimya kwa Serikali inatupa mashaka Sana kuhusu utendaji wa Serikali yetu.
Soko mpaka leo limepigwa red tapesNa ripoti ya kuungua kwa soko la kkoo veeepee.
Kuna mtu alining'ata sikio kwamba lilikuwa ni agizo kumbe kutoka kwa chief hangaya mwenyewe😊.
NCHI ILOFITINIKA.
Ina maana jamaa walikuwa wanapiga dili hilo kitambo sana ,inaelekea kigamboni hiyo michezo ipo sanaKesi ya nyani hakimu ngedere unategemea nini?
Koki watu wameishi nazo sana hukoIna maana jamaa walikuwa wanapiga dili hilo kitambo sana ,inaelekea kigamboni hiyo michezo ipo sana
Ova
RCO atakwambia yeye kamaliza kazi yake na file liko kwa DDP, na DPP ndiyo mwenye maamuzi ya kupeleka kesi Mahakamani au kuaamua kulikalia Jalada bila kulitolea maamuzi yoyote yale! Na hakuna wa kumuhoji DPP kwa maamuzi yake!!Tumjue aliyewakamata (ambaye bila shaka atakuwa Jeshi la Polisi), halafu atuambie wale wezi wetu wako wapi?
Kuna kesi moja nilimshimtaki Mjenzi kwenye Mahakama ya mwanzo, Mjenzi akaitwa Mahakamani,kufika tu Mahakamani kumbe Hakimu alikua na shida ya kokoto Kama Lori tano hivi, Basi hapo hapo kesi yangu ikasahaulika watu wakaanza kuongea biashara ya kokoto! Nikapigwa tarehe mpaka Leo napigwa danadana! Maisha haya kiboko!!Mwenye pesa ana kesi Tanzania?
Majaji wenyewe ukitoa nondo kidogo tu anaahirisha kesi akachimbe pgo na kusikiliza ushauri wa polisi aliyeletta kesi.
Daah! Kama mambo ndo yako hivi, basi #KATIBA MPYA NI MUHIMU SANA.RCO atakwambia yeye kamaliza kazi yake na file liko kwa DDP, na DPP ndiyo mwenye maamuzi ya kupeleka kesi Mahakamani au kuaamua kulikalia Jalada bila kulitolea maamuzi yoyote yale! Na hakuna wa kumuhoji DPP kwa maamuzi yake!!