Kesi ya Sabaya: Video kutoka Benki zikionesha maboksi yenye fedha alizoomba Sabaya zawasilishwa Mahakamani

Hivi hatuez pata video Kama hizi za Bashite nae akamsaidie mwenzake kule. Hebu wadau wenye ushahidi tuukusanye tupate mawakili wa kutusaidia tujenge Tanzania yenye nidhamu
Ina maana CRDB haina siri kwa wateja wake?
 
Attach hiyo video tuone mkuu
 
we mwenye uwezo mkubwa umefika wapi? Ungekuwa na uwezo kunizidi ungekuwa kwenye CEOrt au unashindana na aki MO na Bakhresa mida hii. Bangladesh...

More, ceo na bakhresa ndo wenye uwezo mkubwa wa kufikiri?
 
Alikuwa akitekeleza maagizo ya ibilisi joka kuu akasahau kuwa yupo Mungu wa Isaka na Yakobo mtengeneza njia pasipo na njia.
 
Sabaya kila kitu majukwaani ni kumtaja mungu tuu, na yule makonda ndio kujifanya wanachukia madawa, mashoga na mpaka kuimba mapambio jukwaani, kumbe walikuwa wachafu kweli kweli kuliko hao fake wauza madawa ya kulevya waliowasingizia
 
Huwezi kutenga wizi wa sabaya na utawala wa magufuli. Kwa kifupi huo wizi alitumwa na magufuli..
Nitakapokuwa rais mwaka 2035 nitaishangaza dunia,awamu ya tano ya sita watakuwa na kesi ya kujibu,Kuna watu watakuwa kama Mbowe wa leo.
Nitakata kujua aliyemshambulia Lissu/kupotea baadhi ya watu.
Nitataka kujua Kigogo ni nani na kwanini alifurahia sana kifo cha Magufuli.
Jiandaeni mwaka 2035 sio mbali.
 
Kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…