Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Maamuzi tayari hana hatia kwa hisani ya kura ya tarehe 25/10/2015
Kesi namba 128/2013 inayomkabili
Katibu wa jumuia na taasisi za kislamu Tanzania
Sheikh PONDA ISSA PONDA kutolewa hukumu
Katika mahakama ya mkoa wa
Morogoro siku ya jumatatu ya tarekhe 19/10/2015
yani kesho
Tumuombe Allah (sw) amfanyie wepesi Sheikh
aweze kushinda Hii kesi
Inasikitisha kesi za madai ya viwanja inaendeshwa na serikali kwa pingu.....Ya aalah msaidie mja wako na wape aibu kubwa wote wanao husika na waloridhia na wenye mamlaka wakayatumia kutesa ..wape aibu hapa hapa duniani ....Amin
Allah ndio tegemeo letu
SIO UKAWA WALA CCM
Huwezi kuipata Pepo ya Allah mpaka Allah akupe mitihani yake ndipo unapoweza kuingia katika Pepo yake Allah. Allah ampe Moyo wa Subira Sheikh Ponda issa Ponda na Mitihani ya Kidunia Amin.
Inasikitisha kesi za madai ya viwanja inaendeshwa na serikali kwa pingu.....Ya aalah msaidie mja wako na wape aibu kubwa wote wanao husika na waloridhia na wenye mamlaka wakayatumia kutesa ..wape aibu hapa hapa duniani ....Amin