Kesi ya Uchochezi na kuzua Taharuki inayowakabili Boniface Jackob na Malissa kuendelea Mahakama ya Kisutu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hahaha Boni aliombwa achukue pesa ahamie upande wa pili akagoma, sasa wanataka kumsilimisha kwa nguvu.
 
Mbowe naye aunganishwe huko.

Picha kutoka mitandaoni


Kuna kiporo cha kesi yake na wenzie ya Ugaidi mahakamani. Ni zaidi ya Uchochezi na Taharuki.

Tatizo Jakobo na Malissa sio Mabilionea ili wawekwe kwenye maridhiano wakasamehewe na kutoswa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…