UongoMkuu dhamana ni sayansi kubwa sanaa, akiwa kaweka dhamana ya hela basi mahakama itazichukua hizo fedha kufidia uku utaratibu wa kumpata ukiendelea. Endapo akikimbia ila kadhaminiwa na watu basi mahakama inaweza kuonelea busara na kuwataka nyie mumtafte mumpate mkikosa basi mali zake zinaweza kuchukuliwa au nyie mliomdhamini mkafungwa hata nusu ya adhabu la kosa lake. Its complicated sana, ila wengi hua wanaenda jela tu.
Haya tuambie ukweli basi.Uongo
Hv kuna dhamana ya maneno kwa mujibu wa sheriaHaya tuambie ukweli basi.
Inategemea na kesi yenyewe, mfano merushiana vijembe tu, moja akakimbia mahakamani ,unaomba kujidhamini mwenyewe kulingana na kesi uzito wakeHv kuna dhamana ya maneno kwa mujibu wa sheria
Dhamana zote huwa ni za maneno tu. Yaan unatoa ahadi tuHv kuna dhamana ya maneno kwa mujibu wa sheria
Weka ukweliUongo