Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Si ulikuwa unashanbilia jana tu hapa kwamba mmepata ushindi wa awali baada ya yule jaji kujitoa?Kanzu mpya, Shehe yule yule.
Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
Kwani anaepanga Majaji wa kusikiliza hizi kesi ni yule yule au mwingine?Si ulikuwa unashanbilia jana tu hapa kwamba mmepata ushindi wa awali baada ya yule jaji kujitoa?
huyu sio jaji wa mkakatiMuhimu mshtakiwa awe na amani na jaji atimize majukumu yake kwa kufuata sheria, sio maoni yake binafsi.
Hakuna aliyeshangilia Bali tulitaka haki itendeke na ionekana kuwa imetendeka.Si ulikuwa unashanbilia jana tu hapa kwamba mmepata ushindi wa awali baada ya yule jaji kujitoa?
Poli jipya Nyani walewale.Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.
Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?
Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.
Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juNyan
Wengine hubadilika kama Mama Yule wa Tozo.Angalau kwa Maoni Yangu Wenzetu Dini Yao wana hofu na Mungu...
Hama nchi.Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.
Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?
Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.
Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
Ombeni ajitoe kama inaruhusiwa kukataa majaji mfululizo na mpendekeze mlie na imani nae.Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.
Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?
Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.
Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
Ongeza sauti wa kule nyuma wasikieSamia is a dictator
Inapo fika mahali wananchi wana tilia shaka vyombo vya kutoa haki, kun kuwa na giza zito mbele. Hivi kweli mahakama imekubali kupakwa matope? Kisa kukinda serikali dhalimu?Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.
Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?
Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.
Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
Kesi Na.16/2021, Makosa ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake inayomkabili mwenyekiti @freemanmbowetz na wenzake 3, itaanza kusikilizwa Ijumaa ya wiki hii, katika Mahakama Kuu, Division ya Uhujumu Uchumi na Rushwa. Kesi hiyo, itasikilizwa na Jaji Mustapha Siyani.
View attachment 1929484