JF Member JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 7,914 Reaction score 10,793 Jul 2, 2015 #1 Heshima kwenu wakuu, Naombeni msaada wenu, Jirani yangu amemfumania mke wake akiwa na njemba guest mchana kweupe, Njemba imefanikiwa kutoroka baada yavurugu kubwa. Kisheria achukue hatua gani?
Heshima kwenu wakuu, Naombeni msaada wenu, Jirani yangu amemfumania mke wake akiwa na njemba guest mchana kweupe, Njemba imefanikiwa kutoroka baada yavurugu kubwa. Kisheria achukue hatua gani?
lecho p Member Joined Aug 13, 2015 Posts 27 Reaction score 7 Aug 16, 2015 #2 duu maisha ya siku hiz yananishangaza sana watu hawa tosheki. hao niwatu wazima watasuluhishana wenyewe
duu maisha ya siku hiz yananishangaza sana watu hawa tosheki. hao niwatu wazima watasuluhishana wenyewe
T TULIBAHA Member Joined Jan 23, 2011 Posts 49 Reaction score 4 Aug 16, 2015 #3 aende mahakamani akafungue kesi ya madai ya ugoni
J J.I.M.S1237 Member Joined Jul 27, 2015 Posts 74 Reaction score 14 Aug 17, 2015 #4 ni mawili:asamehe au ampe talaka maana hakuna kosa linalohalalisha talaka zaid ya hlo,ila mchakato wa talaka ni mref-inaonesha sheria imetungwa kutorahsisha talaka..
ni mawili:asamehe au ampe talaka maana hakuna kosa linalohalalisha talaka zaid ya hlo,ila mchakato wa talaka ni mref-inaonesha sheria imetungwa kutorahsisha talaka..