Kesi ya unyanyasaji wa kingono ya Mason Greenwood yafutwa

Kesi ya unyanyasaji wa kingono ya Mason Greenwood yafutwa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1675356551782.png

Mason Greenwood ameondolewa mashtaka yote yaliyokuwa yanamkabiri ikiwemo unyanyasaji wa kingono dhidi ya aliyekuwa Mpenzi wake.

Taarifa kutoka Polisi wa Greater Manchester ni kuwa hawatotoa maelezo mengi zaidi licha ya kuwa kesi hiyo ilikuwa na mvuto kwa Media lakini kujiondoa kwa Mashahidi muhimu imelazimu kesi kufutwa.
===

Charges of attempted rape and assault have been dropped against Manchester United footballer Mason Greenwood.
The 21-year-old was arrested in January 2022 amid allegations surrounding images and videos.
He was later charged with attempted rape, controlling and coercive behaviour and assault occasioning actual bodily harm.

The Crown Prosecution Service said the charges were discontinued after key witnesses withdrew their involvement.

A spokesman said: "We have a duty to keep cases under continuous review.

"In this case a combination of the withdrawal of key witnesses and new material that came to light meant there was no longer a realistic prospect of conviction. In these circumstances, we are under a duty to stop the case.
"We have explained our decision to all parties.

"We would always encourage any potential victims to come forward and report to police and we will prosecute wherever our legal test is met."

Within hours of the allegations surfacing at the beginning of 2022, the forward, who has made one appearance for England, was suspended from playing or training with the Old Trafford club.

The club has been asked by the BBC to comment.
Greater Manchester Police said it was "only fair" to announce Greenwood would no longer face criminal proceedings.

Ch Supt Michaela Kerr said the decision had "not been taken lightly".

She added: "I would, however, like to use this opportunity to reiterate the force's commitment to investigating allegations of violence against women and girls and supporting those affected, regardless of their circumstances, throughout what can be a hard and upsetting time for them."
 
Kwa hiyo key witnesses wamejiondoa baada ya kumuharibia msela
https://jamii.app/JFUserGuide them
 
Wamemalizana nje ya mahakama hao. Demu shida yake ilikua pesa na umaarufu tu
 
Hizi kesi zimekaa kimchongo Sana.

Binti mnapendana tu ukiwa star,
Akikuchoka anakuzushia TU unamnyanyasa kingono,

Mpk upatikane huna hatia tayar ushayumba Sana kiuchumi na kimaisha.

Na kinachokera hamna hata fidia unayopata, hii imemkuta pia Donald trump[emoji3525]
 
Kuna mwamba ngozi nyeusi alipanda pipa kwenda ughaibuni

Ubishoo mwingi kamwelewa airhostee, kaomba Kupiga nae picha,

Airhostee kubali
Na Kwenye picha Moja jamaa akambusu shavuni na picha ikatoka binti kasmile na kwenda kuendelea na shughuli zake.

Pipa linatua ng'ambo,
Mwamba anadakwa na pingu kua kamdhalilisha mhudumu wa ndege kingono.

Kajiliza wee hakuna anaemskiliza,
Mahakamani kaombwa fidia pesa Hana,
Ikabd abaki uko uko ulaya atumikie kifungo
 
Labda yule dada kagoma toa ushahidi
His kesi za Hivi kwa mastar huwa Zaid zaid Ni kukomoana TU, wee fikiria Kama ile ishu ya R.kelly alivyosota jela eti sahv inaonekana Hana hatia na anafutiwa makosa[emoji26]
 
Kwa bongo,
Dada zetu nao wameishaiga,
Mkishagombana TU anakupeleka mahakamani anasema
"Alikua ananiingizia kinyume na maumbile"
 
His kesi za Hivi kwa mastar huwa Zaid zaid Ni kukomoana TU, wee fikiria Kama ile ishu ya R.kelly alivyosota jela eti sahv inaonekana Hana hatia na anafutiwa makosa[emoji26]
Mkuu kelly si amehukumiwa 30 years,kuna mabadiliko? DeepPond
 
His kesi za Hivi kwa mastar huwa Zaid zaid Ni kukomoana TU, wee fikiria Kama ile ishu ya R.kelly alivyosota jela eti sahv inaonekana Hana hatia na anafutiwa makosa[emoji26]
Wamemfutia sababu tayari kahukumiwa 30 gerezani
 
His kesi za Hivi kwa mastar huwa Zaid zaid Ni kukomoana TU, wee fikiria Kama ile ishu ya R.kelly alivyosota jela eti sahv inaonekana Hana hatia na anafutiwa makosa[emoji26]
R K anaweza kuchomoka?
 
Mimi kule Ulaya ningekuwa nimeshafungwa kitambo.Midemu inakaa uchi uchi tu,vitumbua vilivyotuna nje nje halafu wanajifanya wanajua maadili na hawataki kunyanyaswa kingono. Wanajiachia vile halafu nisiwanyanyase? Na hata hapa Bongo Mungu anisaidie tu, maana wadada wanavianika vi. pa. pa. vyao wazi wazi.
 
Back
Top Bottom