Elections 2010 Kesi ya viongozi wa Chadema kutajwa leo Mahakama ya Arusha

Elections 2010 Kesi ya viongozi wa Chadema kutajwa leo Mahakama ya Arusha

Kagemro

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2010
Posts
1,440
Reaction score
635
Ndugu zangu kutokana na kumbukumbu zangu leo ni siku ya kesi ya viongozi wetu huko Arusha,kwa taarifa niliyonayo watu wengi hivi sasa wanaelekea mahakamani kusikiliza mashitaka ya viongozi wetu.

Hasa kukiwa na tetesi kuwa inawezekana wakasomewa mashtaka mapya hivi leo,tafadhali mlioko Arusha tunaomba taarifa.
 
Back
Top Bottom