kesi ya waliobaka india ingekuwa wewe je?

chilubi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,188
Reaction score
6,244
Ndugu wana jf. Naamini sote tumesikia tukio lilotokea india la kumbaka mwanamke na mpaka kumchafua chafua na kumueka katika hali mbaya. Hebu jambo hili tulitizame kama lingetutokea sisi wenyewe.
Je kama wewe ni mwanadada umefanyiwa ivyo, je ungependa watendaji wafanywe nini? Ungeridhika na sheria za mahakama za kumfunga mtendaji milele hali ya kuwa wewe unapata shida katika maisha yako wakati yeye anaendelea kuvuta hewa iliokua safi?
 
Wanastahili kunyongwa hadi wafe!
:target:
 
Kifungo cha maisha! Ndo adhabu tosha kwa watu kama hawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…