Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ok .Itakuwa wamekula kulingana na urefu wa kamba zao kama maelekezo yaliyotolewa. Hivyo, hamna kesi....!!
😆😆😆😆hiyo ni kazi za waandishi wa habari kutuhabarisha, lakini wapo busy na nyumba mpya ya mwijaku ya bilioni 1.3
Aibu hii kwa chipukizi wenzakokajifiche basi kwenye kum.a yamamako kamaunaona aibu
For sure Hawa ndo watoto wa makatibu wilaya wa CCM ni janga kubwa Sana kwa kweliJf Isiruhusu vichaa
Wengi ni wale watuhumiwa walio nje kwa dhamanaDuh
Watu wana visirani balaa humu , [emoji1787]
🤣Wengi ni wale watuhumiwa walio nje kwa dhamana
Itafute post iliyotwambia "humu" tumuulize aliyeleta hiyo habari.Tuliambiwa humu na kwingineko kwamba Watumishi wale watafikishwa Mahakamani, tena tuliambiwa katika lugha iliyojaa Mikwara hasa, tukajua hakika wezi wale watakiona cha moto!
Sasa baada ya Kimya kizito kutanda, sisi wananchi tumerudi tena kuulizia ilipofikia kesi hiyo kabambe.
Naomba kuwasilisha.
Wameongezewa posho toka 30,000/= hadi 120,000/=.hiyo ni kazi za waandishi wa habari kutuhabarisha, lakini wapo busy na nyumba mpya ya mwijaku ya bilioni 1.3
Uadilifu ndani ya ccm ni sifuri kabisaTuliambiwa humu na kwingineko kwamba Watumishi wale watafikishwa Mahakamani, tena tuliambiwa katika lugha iliyojaa Mikwara hasa, tukajua hakika wezi wale watakiona cha moto!
Sasa baada ya Kimya kizito kutanda, sisi wananchi tumerudi tena kuulizia ilipofikia kesi hiyo kabambe.
Naomba kuwasilisha.
Namkumbuka Jiwe aliposema kuwa polisi kuchukua buku tano ni sawa maana ni ya kiwiItakuwa wamekula kulingana na urefu wa kamba zao kama maelekezo yaliyotolewa. Hivyo, hamna kesi....!!