Kesi za mauwaji, ujambazi na ubakaji yaani ukishukiwa au kusingiziwa nchini ni bora ukutane na simba porini

Kesi za mauwaji, ujambazi na ubakaji yaani ukishukiwa au kusingiziwa nchini ni bora ukutane na simba porini

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Wanasema sikia kwa mwenzako ila sio kwako.hizi kesi nilizozitaja mbili hapa kwa tanzania zimeumiza watu wengi mwisho wa siku walio athirika wame hadithia mengi kupitia vyombo mbalimbali.

Jeshi letu linapotokea kesi hizi asilimia 90 wengi wanajikuta wakiangaukia kwenye mateso ambayo siyo yao kwa asilimia kubwa.

mfano umekamatwa na simu ya wizi uliyo nunua mfano tu,nyengine za kusingiziwa kwa sababu ya chuki au kushukiwa bila ushaidi.

wengi wanateseka sana magerezani. Mfano kuna jamaa mmoja mkoa X alikuwa na rafiki yeka wa kushibana basi huyo rafiki alifanya mauwaji na kukimbia ila kesi ikaangukia mikononi mwake sababu afahamu kilicho tokea.
 
Mwaka jana mwezi wa tano tarehe 2 Jumanne saa kumi na moja, kmmkk hii siku sitokuja kuisahau... Niliingia mikononi mwa polisi kwa tuhuma za ujambazi wa bidhaa za thamani ya zaidi ya 300M Tzs. Kile kichapo cha polisi achana nacho
 
Cha muhimu kwenye haya maisha ni kuwa makini muda wote huku ukifokasi na mambo yako.

Epuka kujichekeshachekesha na watu hasa wanafunzi, wake za watu, mapolisi na watu usiojua shughuli zao.

Jitahidi ule muda ambao hauna shughuli yoyote ukae na familia yako hata kama ni pombe unywee nyumbani.

Kubwa zaidi usinunue vitu used hasa vifaa vya kielektoniki hata kama unamjua aliyekuuzia!

Furahia maisha yako huku ukiacha kufuatilia mambo ya watu
 
Wanasema sikia kwa mwenzako ila sio kwako.hizi kesi nilizozitaja mbili hapa kwa tanzania zimeumiza watu wengi mwisho wa siku walio athirika wame hadithia mengi kupitia vyombo mbalimbali.

Jeshi letu linapotokea kesi hizi asilimia 90 wengi wanajikuta wakiangaukia kwenye mateso ambayo siyo yao kwa asilimia kubwa.
mfano umekamatwa na simu ya wizi uliyo nunua mfano tu,nyengine za kusingiziwa kwa sababu ya chuki au kushukiwa bila ushaidi.

wengi wanateseka sana magerezani.
Mfano kuna jamaa mmoja mkoa X alikuwa na rafiki yeka wa kushibana basi huyo rafiki alifanya mauwaji na kukimbia ila kesi ikaangukia mikononi mwake sababu afahamu kilicho tokea.
Kwanini usimtaje huyo mtu pengine anaweza kupata msaada?
 
Wanasema sikia kwa mwenzako ila sio kwako.hizi kesi nilizozitaja mbili hapa kwa tanzania zimeumiza watu wengi mwisho wa siku walio athirika wame hadithia mengi kupitia vyombo mbalimbali.

Jeshi letu linapotokea kesi hizi asilimia 90 wengi wanajikuta wakiangaukia kwenye mateso ambayo siyo yao kwa asilimia kubwa.
mfano umekamatwa na simu ya wizi uliyo nunua mfano tu,nyengine za kusingiziwa kwa sababu ya chuki au kushukiwa bila ushaidi.

wengi wanateseka sana magerezani.
Mfano kuna jamaa mmoja mkoa X alikuwa na rafiki yeka wa kushibana basi huyo rafiki alifanya mauwaji na kukimbia ila kesi ikaangukia mikononi mwake sababu afahamu kilicho tokea.
Na Katiba Mpya bado hamuitaki!
 
Sala, maombi, utulivu, kusamehe, na kutafuta kwa haki - Mungu atakusaidia.

Tabia za uonevu kamwe hazitakaa ziishe, ila unaweza kupunguza risk.
 
Wanasema sikia kwa mwenzako ila sio kwako.hizi kesi nilizozitaja mbili hapa kwa tanzania zimeumiza watu wengi mwisho wa siku walio athirika wame hadithia mengi kupitia vyombo mbalimbali.

Jeshi letu linapotokea kesi hizi asilimia 90 wengi wanajikuta wakiangaukia kwenye mateso ambayo siyo yao kwa asilimia kubwa.
mfano umekamatwa na simu ya wizi uliyo nunua mfano tu,nyengine za kusingiziwa kwa sababu ya chuki au kushukiwa bila ushaidi.

wengi wanateseka sana magerezani.
Mfano kuna jamaa mmoja mkoa X alikuwa na rafiki yeka wa kushibana basi huyo rafiki alifanya mauwaji na kukimbia ila kesi ikaangukia mikononi mwake sababu afahamu kilicho tokea.
Duh ni noma ndugu yangu ana miaka kama 3 kahusishwa na case ya mauaji.
 
Kwa uzoefu wangu ndani ya jamii asilimia kubwa ya watu wanaotuhumiwa kwa makosa kama wizi,ujambazi,uhaini,ugaidi,na ujangili huwa wana vinasaba au ukaribu na kesi wanazotuhumiwa nazo, so hata kama polisi wataamua tu kubambikiza mtu kesi fulani basi kwanza huwa wanahakikisha kuwa hiyo kesi ina m fit!! Yaani hata mtu akimwangalia mtuhumiwa huyo aone ufanano wake na tuhuma zake,

Sasa unamkuta mtu kuanzia sura hadi mwonekano ni jambazi mtupu, halafu amekamatiwa kwenye red light spot area,halafu background yake ni questionable, huyo anakuwa easy prey ya hao polisi wabambikaji.
To get rid of all that inakupasa ujue uishi vipi, uende wapi,ufanye nini, na uongee nini! Appearance yako ndiyo imebeba future yako, mkuu tukisema tutafute watu wanaobambikia watu wengine kesi hata wewe hutopona, yaani ile unapita zako barabarani au vichochoroni mara unakutana na mtu, yaani ile kumwangalia tu mwili unakusisimka, unakuwa hujui kama utaendelea kuwa salama sekunde kadhaa zijazo!! Appearance!! Kuhusu wabakaji hao ni special issue, maana hadi kuthibitika kuna mlolongo mrefu wa kisheria na kisayansi unaopaswa kuzingatiwa kabla ya kumbadili mtuhumiwa kuwa mhalifu kamili, mambo mengine tunajitakia wenyewe.
 
Back
Top Bottom