Kesi zilizofunguliwa na mamlaka za kisheria za shirikisho (Federal cases) dhidi ya Donald Trump zinakufa zote

Kesi zilizofunguliwa na mamlaka za kisheria za shirikisho (Federal cases) dhidi ya Donald Trump zinakufa zote

Joseph Ludovick

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
364
Reaction score
468
Mifumo ya Demokrasia na sheria imeona mbali. Huwezi mshitaki rais aliye madarakani. Kesi nyingi zilizofunguliwa na mamlaka za kisheria za shirikisho (Federal cases) zinakufa zote.

Kesi zilizofunguliwa majimboni, kama New York na Georgia nazo hatimaye zitayeyuka.

Wenzetu CHADEMA wajifunze mambo haya ili waepuke kuwa wanaongea ongea sana kuwa viongozi walioko madarakani washitakiwe.
 
Mifumo ya Demokrasia na sheria imeona mbali. Huwezi mshitaki rais aliye madarakani. Kesi nyingi zilizofunguliwa na mamlaka za kisheria za shirikisho (Federal cases) zinakufa zote. Kesi zilizofunguliwa majimboni, kama Nee York na Georgia nazo hatimaye zitayeyuka.
Wenzetu CHADEMA wajifunze mambo haya ili waepuke kuwa wanaongea ongea sana kuwa viongozi walioko madarakani washitakiwe.
EVIDENCE KUWA ZIMEKUFA
 
EVIDENCE KUWA ZIMEKUFA

Mifumo ya Demokrasia na sheria imeona mbali. Huwezi mshitaki rais aliye madarakani. Kesi nyingi zilizofunguliwa na mamlaka za kisheria za shirikisho (Federal cases) zinakufa zote. Kesi zilizofunguliwa majimboni, kama Nee York na Georgia nazo hatimaye zitayeyuka.
Wenzetu CHADEMA wajifunze mambo haya ili waepuke kuwa wanaongea ongea sana kuwa viongozi walioko madarakani washitakiwe.
Hivyo nimiongoni mwa mnaowakingiakifua wahalifu wetu?
 
Back
Top Bottom