Kevin De Bruyne: Mpishi wa mabao ya Man City EPL asiyeimbwa

ile pasi iliyopita katika uchochoro wa mabeki hadi kwa yesu haikuwa ya kawaida. Ni kwa namna gani aliweza kumuona yesu katika nafasi ile...

Salute KDB..
Ati YESU ????????[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mzee mwenzangu mpaka uwe mtu wa mpira ndo utaliona hilo wengi hushangilia goli bila kujua limepatikana vipi. Ukiacha hilo la kutoa mapande pia lipo la ukuta wa chuma au invisible wall hapa pana kundi huwa nalo halipewi heshma yake utamkumbuka makelele akina captain dunga akaja mrithisha gilberto silva akina Roy Keane na Vieira (the beautiful enemies )hawa nao walikuwa na cha kusifiwa lakini tuliona kabisa heshima yao haikufanana na kikubwa walichokuwa wakikifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…