Kevin Kijiri mbavu mpya ya kulia Simba, sijui nikakeshe wapi leo

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Huyu mwanaume alivyo na krosi dongo, Mukwala au Fungafunga washindwe wenyewe.

Mechi moja tu ya Kijiri inatosha kumpeleka Stars.

Mbavu hii haina tofauti na ile mbavu ya kulia ta Mamelodi.

Kijiri kwa namna anavyoupiga mwingi namfananisha na marehemu Rafael Paul ama RP ingawa RP alikuwa mnene na mfupi.

Moja ya sajili za maana kabisa zilizofanywa na Simba msimu huu.

Mwingine ambaye namkubali ni Yussuf Kagoma.

Bado Awesu Awesu, huyu ni fundi Mwingine ambaye anapaswa kuwepo pale Simba.

Dah am very very very happy today for this signing
 
Wanathiiimbaaa......lete mudhumgu..
 
Siwaamini wachezaji wa Mwigulu wanaoletwa Simba. Wachezaji ambao siku moja walishawahi kuambiwa "leo iachieni Utopolo, kuna bonasi" halafu siku nyingine wakicheza na Simba wakaambiwa "leo wanangu kazeni, kuna bonasi"
 
Kipindi ambacho washabiki na wapenzi wa Simba tunakuwa na furaha ni hiki cha usajili.

Kazi ikianza tunaanza kupoteana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…