Kevin wa BBA4 yupo Bongo Kumchumbia Elizabeth

Kevin wa BBA4 yupo Bongo Kumchumbia Elizabeth

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Hapa wakiwa wamepozi jamaa kaja kuchukua mtoto Elizabeth Gupta jumla ila wazifaudu dolari za BBA,

SDC11029.JPG
kvn2.jpg
kvn1.jpg
 
Hawa jamaa wanugu mie hata siwaamini kabisa halafu huyu Elizabeth kigeu geu sala si alikuwa najidai hawezi kudate mablack kulikoni dada?
 
naona eliza shavu hinha maana shem hilo TONGE hapo kati anaonekana mtu wa kuhusudu sana mambo ya konoz,hongera bwana igweeeeee,
abeg abeeeg nnae yu betta giv fudi to ma sista ooooh,bifoo yua dolaz finish:dance:
 
naona eliza shavu hinha maana shem hilo TONGE hapo kati anaonekana mtu wa kuhusudu sana mambo ya konoz,hongera bwana igweeeeee,
abeg abeeeg nnae yu betta giv fudi to ma sista ooooh,bifoo yua dolaz finish:dance:
Hehehe umenifurahisha sana na hii ngeli ya kinugu
 
mwacheni dada yetu akale dolari za BBA na akae mguu ndani mguu nje maana Nigerian are bad'o in relashon,
 
My broda Kevin dey take gud care of my sista oohooo,do not let de moniii finish igwee
 
Hapa wakiwa wamepozi jamaa kaja kuchukua mtoto Elizabeth Gupta jumla ila wazifaudu dolari za BBA,


kvn1.jpg

Duuuu The Great Kanumba hayupo mbali, inapendeza labda nayeye ataoa karibuni halafu eliza na kelvin wawe wasimamizi wake.

Couple naona inapendeza Kelvin na Elizabeth
 
Mbona aliza anaonekana hana time na Kevin?
 
Jamani nahisi kama wengine wanamwonea wivu dada Eliza. Mwombeeni mema tafadhali.
 
Jamani nahisi kama wengine wanamwonea wivu dada Eliza. Mwombeeni mema tafadhali.

No tunamtakia maisha mema na yenye baraka ya ndoa ila kutokana na critics alizokuwa anasema wakati yuko kwa BIGGIE kuwa hawezi kudate black guy ndio maana watu wanamuona kigeugeu na wana refer either amemdate Kevin simply because ya hizo $
 
Back
Top Bottom