Alikuwa anakula wali Nazi nae,atakuwa ameponaAmeshafanikiwa kujitoa huku?View attachment 1549945
Daah afu DT alitokea mara moja tu hapoAti huyu mwamba ni raisi wa dunia sasa hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tusikate tamaa ya kutafuta jamani...Ila 1992 still jamaa alikuwa anamiliki hilo jengo wanaloigizia hio movie.View attachment 1549980
Eh hapendi show off maana mawe yanamuwakilishaDaah afu DT alitokea mara moja tu hapo
Lilikua ni sharti moja wapo kwamba lazima atokee, ili awaruhusu kushoot kwenye hotel yake.Eh hapendi show off maana mawe yanamuwakilisha
Zipo, sema wewe bado hujakutana nazo/zionaHivi Kuna hata bongo movie moja inayofikia hata picha moja ya huyo dogo..?
Taja majinaZipo, sema wewe bado hujakutana nazo/ziona
[emoji23][emoji23][emoji23]ni bonge la movie.Kulikuwa na sinema za PROBLEM CHILD 1-4. Nani alizicheza? Dogo alikuwa amepinda sana