Hello JFM Nina laptop yangu Toshiba leo nimeiwasha ikawaka lakini eneo la cursor movent pamoja na key board havifanyi kazi, nimeweka mouse inafanya kazi ila keys hazifanya kazi. Naomba msaada tafadhali.
Jaribu kurestart, ukiona bado-angalia kama drivers esp za keyboard km ziko shwari (panyakulia-mwanzo-panyakulia kompyuta yangu-mambo yake(properties)-vifaa vigumu(hardware)-mkuu wa vifaa (device manager). ukiona alama ya kiulizo kwenye kifaa kimojawapo hapo angalia kwa undani
drivers unaweza kupata kwenye website ya manufacturer wa hy pc yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.