connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Umeongelea mtaani kwetuKFC itabid wauze miguu na vipapatio tu huko labda na utumbo, Wakiforce mapaja na vidali hawatoboi mwezi.
Mtaa gani huo mkuuš¤£Umeongelea mtaani kwetu
Hahahahahaha
Fyuuu āMgahawa Maarufu duniani Kwa ajili ya Wanyonge KFC unatarajia kufungua Tawi jipya Katavi (Mpanda Mjini) kutokana na mahitaji (demand) ya huduma zao. Wafipa hatimae kilio chenu kimesikika.
Mtaani kwetu mkuMtaa gani huo mkuuš¤£
Kidali buku jero ni cha panya au, kipaja cha buku ni cha panzi? Acheni masikhara mkuu tuoni pesa mle vizuriš¤£Mtaani kwetu mku
Eti mtu akila kidali kwa buku jero na kipaja kwa buku ndo MNENE hahah
Ivi vingine ni jero jero tuuh
Kumbe KFC ni kwaa ajili ya wanyonge?Kwa ajili ya Wanyonge KFC
Walishafanya Market surveyWataifunga tu kwa kukosa Wateja