KG feat Chidi Benz - Toka Kitambo

KG feat Chidi Benz - Toka Kitambo

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
1731923740941.png

Yeah...!!

Aaah Aah Aah

Dar es salaam stand Up Again..

Kg song

Chuma.

Aaah Aaah Aaah

Verse.. 1. ( chid benz).

Najulikana kama Ugali msingi na Secondari/ Boma primary mita chache na usawa wa Bahari/ Rashind Abdallah nyota kutoka kwa Allah /nipo hapa kama ishara Imara kazi fundi seremala sina masihara/ wanaopanda nawashusha kama konda wa Daladala/ sichoki kutafuta usiku na mchana kutwa/ asubuhi nikiamka nasali kisha naruka/ muziki kazi yangu na ndio pia stimu yangu/ So hatuwezi kufanana nafuata hisia zangu / ilala jina langu sichoki kulitamka nalala /"nawakirisha" ni mimi baada ya akili funguka/ am member na chupa mcheshi kama suka/uliowahi kaa na mimi wanajuta wakikumbuka/ mazuri na mabaya namnajua wanadamu wana haya Nawatuma nawaona kama malaya/ nishakuja taka chota ila nyavu zinavuja/ wasanii mmesahau mmetukuta mlipokuja / Toka kitambo nature hajui stori ya mgambo/ nilishakuwa star 🌟 mafiga mafilidi kijanapo / mimi leo hapo mjini najiona kama pambo / la kitambo kama mtambo na kigambo/Wakitambo kama mgambo/Na kigambo na skills

Niko hapo hapo

Ukwaju wa kitambo

0767 542 202
 

Attachments

  • download-10.jpg
    download-10.jpg
    7.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom