MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hawa jamaa Wabongo wanatunisha misuli eti hawataki kutuuzia mahindi maana wameboresha viwanda hivyo tunafaa kununua unga kutoka kwao, kumbe na wenyewe hawana hayo mahindi ya kutosha na kuna wakati wamefuata Malawi kimya kimya.
Jameni nchi yote hiyo ardhi kubwa yenye rotuba mnashindwa kulima mahindi ya kutosha, aisei Afrika tuna laana ya uzembe. Mlifaa kuwa mnauzia Afrika yote leo hii...
------------------------------------------------------
Admarc board chairperson James Masumbu confirmed that the two East African countries reportedly inquired if they could sale them maize to them as they face shortage of the grain.
Masumbu said Admarc referred Kenya and Tanzania to Capital Hill for a discussion at government level on the deal.
He said the decision to sell the maize will be made month-end of April after harvesting.
According to Masumbu, Admarc has 100 000 metric tonnes of maize in stock.
He said they would need to sell the maize to pay back the loans they got.
https://www.nyasatimes.com/malawi-sell-maize-kenya-tanzania-admarc/
Jameni nchi yote hiyo ardhi kubwa yenye rotuba mnashindwa kulima mahindi ya kutosha, aisei Afrika tuna laana ya uzembe. Mlifaa kuwa mnauzia Afrika yote leo hii...
------------------------------------------------------
Admarc board chairperson James Masumbu confirmed that the two East African countries reportedly inquired if they could sale them maize to them as they face shortage of the grain.
Masumbu said Admarc referred Kenya and Tanzania to Capital Hill for a discussion at government level on the deal.
He said the decision to sell the maize will be made month-end of April after harvesting.
According to Masumbu, Admarc has 100 000 metric tonnes of maize in stock.
He said they would need to sell the maize to pay back the loans they got.
https://www.nyasatimes.com/malawi-sell-maize-kenya-tanzania-admarc/