Khaa jamani hivi u modo huu bongo unalipa?

Mbona haonekani sura aisee ndo nini hii kitu

 
Mwache mtoto mzuri Fide , ila hao male models angalia jinsi wanavyo pozi kama ma gays vile , ebwana Martin Kadinda , Van Kvn David hebu mkiwa kwnye pozi na wenzako please weka ukakamavu kidogo angalau , sio unaonekana umelegea na umesimama kama demu .
 
HO IS SHE?
MALE OR FIMALE?
HAONEKANI SURA
SO HUWEZI KUJUA NI DUME AU JIKE?:laugh:
 

we vipi,unataka wawe wakakamavu wakati washakuwa walegevu,kuna wanaume kweli mle,mbona Aba one hakuwa kama wao...
 
umependeza fide na hongera kwa kujiamini....:twitch:
 
umependeza fide na hongera kwa kujiamini....:twitch:
Kujiamini kwa kuonyesha mijinyama a.k.a michellini na kufuli,hongera kwa kumpaka mafuta ya mgongo,"Fide umependeza',asante
 
nyie hapo juu embu tulieni,hatuko ulaya wanakohusudu wenye miili membamba,...
na pia bado maswala ya diet hayajapewa kipaumbele vya kutosha huku kwetu,
so average wanawake wengi wanafall ktk kundi la wanene!!!....huyo fide ukifanya utafiti kawazidi wengi tu kwa umbo zuri,wekeni hapa picha za dada zenu na mama zenu tuwaone kama mnabisha!!???!:twitch:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…