Khaa power Dynamo FC hawajachukua ubingwa miaka 8!

Kariobang wamechukua ubingwa lini?
 
Yaani mikia fc wangecheza na KARIOBANGE ile shughuli yote ingeingia mchanga
Yaani,
Togwa lingeingia nzi,maana kariobange sio watu wazuri hata kidogo...
KARIOBANGI gani Hii Iliyo Tandikwa Na Vijana Wa Kinondoni?. (K.M.C)
 
KARIOBANGI gani Hii Iliyo Tandikwa Na Vijana Wa Kinondoni?. (K.M.C)

Nyie mikia kariobange mmeshawasahau eeehh....
Hiyo ya kmc yalikuwa ni mazoezi,mechi gani inachezwa asubuhi😀
 
Nyie mikia kariobange mmeshawasahau eeehh....
Hiyo ya kmc yalikuwa ni mazoezi,mechi gani inachezwa asubuhi😀
kwahyo mechi yenu nyinyi makwasu kwasu au misalaba fc ilikua ya Michuano Gani?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…