herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
- Thread starter
-
- #61
in other way sie mashabiki pia huwa tunawakwamisha ccoz wakichana kiingereza tunawadiss kumbe ndo tunawakwamishaDah bongo bana wachanaji wakali wapo wengi. sisi labda lugha inaweza ikawa inafanya tusieleweke (ingawa sio kigezo kikubwa sana maana SARKODIE anaimbaga hadi kikwao lakini watu wanapenda anavyochana". kwa level hizi na kuchana kwa lugha ya kiingereza wapo wale wa TEMA YAI NATION ( kina wakazi, mex cortez, flesh like uuh, incredible), ila overral namuamini sana Fid. laiti jamaa wangekuwa wanaelewa anachokiandika wangempa heshima.
Yah kweli kabisa. ila wao wafanye tu wasiangalie soko la ndani. Nilimsikia ONE akisema kwamba now kaamua kuchana kingereza tu.in other way sie mashabiki pia huwa tunawakwamisha ccoz wakichana kiingereza tunawadiss kumbe ndo tunawakwamisha
Kiukweli jamaa mwenywe ku panic kwke kunaonesha hakustahili kupata Ile tuzo Bali alibebwa tuNaona jamaa hataki utani amemuwashia kweli moto mwanamuziki wa hiphop kutoka Nigeria Blackbone. Na ninachoona mpaka sasa mchezo keshautawala yeye
#Respect OGs, wanigeria lazima waelewe tu wanajiona wao ndo kila kitu now wamepatikana.
View attachment 1324727
Kwani khaligraph Jones ni mnaijeria au ni mkenya?Naona jamaa hataki utani amemuwashia kweli moto mwanamuziki wa hiphop kutoka Nigeria Blackbone. Na ninachoona mpaka sasa mchezo keshautawala yeye
#Respect OGs, wanigeria lazima waelewe tu wanajiona wao ndo kila kitu now wamepatikana.
View attachment 1324727
Kitu kimoja nilichojifunza kwenye safari ya maisha yangu ni kwamba kukua ni taratibu. Unatakiwa ukazeYes Bana.!!
My favourite song ATM.
huyu jamaa number nyingine.
Umeusikia instagram girls ?
Mimi nimemsikia huyu jamaa mara ya kwanza kwenye “ reaction video ya TFLA”
Tangu kipindi hicho namfuatilia.
Uongo mmbaya Huyu jamaa ni hatari.
🤣🤣. PoleKitu kimoja nilichojifunza kwenye safari ya maisha yangu ni kwamba kukua ni taratibu. Unatakiwa ukaze
Mex Cortezhahahaaaa hv hapo kichwa kipi hapa kibongobongo kinaweza kuckucompit na hawa jamaa..?
Mex Cortez
Huyu jamaaa Sijaona Rapper mkali Kumliko Africa Nzima an jamaa Anajua na anawez mziki.
Naweza Sema n Bonge la Msaniii iiyeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Blaq - 9/10Uzuri lyrics zimetoka. we dondosha puchlines zako za Khaligraph, mi nadondosha za Blaq bonez.
"Yo kenya this the nigga that you rated as best
Like if y'all were attacked he gon come to your help?
If there’s one thing that anybody’s learned from Manchester
United it that literally nobody’s scared of JONES in defense"
OG 7/10SOMK, Jones:
I spotted you in Lagos
You were seen bragging
In an uber cab
And I was cruising in a G-wagon
And I couldn't help but pity you
I'd leave it in the past
But it's unfortunate
Your own people treating you like trash (hahaha)
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ficha huu ujinga!
Naamini waliobeza hii comment wameelewa sasa, kwa sasa mex ndiye rapper anayeiwakilisha vizuri Tanzania nje ya mipaka kuliko rapper yeyote. Kafanya wimbo katika mixtape ya CASSIDY, Ana collabo na mmoja kati ya marapper bora kwa sasa africa kutoka ghana anaitwa LYRICAL JOE na pia kaweza kuonesha uwezo wake kufanya diss tracks kali alivyobattle na rapper wa cameroon King Swaggz. Na kalighraph kasema mwana anaweza kuwepo kwenye KHALI CARTEL 4.Mex Cortez