Habari wanajamvi nadhani mm ni mgeni sana ktk jukwaa hili na uhisianao na mapenzi bila kukosea ila nafurahi kujoin na watu mbali mbali ktk kuelimishana na kukosoana na vile vile kupatanisha ktk nyanja yote ya mapenzi na mahusiano sasa mm nakuja tofauti kidogo kwani kuna stori ambayo niya kweli kabisa kwani tayari nimeshaianza kusimuliwa na mhusika mwenyewe na huyo ni mwanamme ila ni choko (shoga) na anaelezea jins alivyo anza huu mchezo na amenilezea kwa kiirefu ila kutokana na uwonga wake ktk kunieleza ilinibidi nimpe kitu kidogo kwani alikuwa hataki kunisimulia kwasababu maneno yake nilikuwa narecord akahis kuwa labda ntamtangaza ktk jamii lakini nilimtoa hofu na tukakubaliana kuwa atanieleza yote kisa cha kuingia ktk ushoga na masara yake kwahiyo wanajamvi nimekuja itro ya jina hapo juu kwani story yoote kwa vipande vpende huku ikiwa na mwendelezo vitakujia kuanzia kesho jumatatu na kuendelea na hayo tu wakuu