Khanga party photos

dah! wasichana wa kiafrika wazuri bwana... huu ndio ukweli:A S 8:
 
mfukunyuzi waonyeshe na ile picha yangu nikiwa ndani ya kivazi changu cha kanga!
mfukunyuzi wee hatari!
 
this girl from the last photo ni wewe.. basi nakufananisha vileeeee :becky:
 
Hivi khanga ndio uvaliwa hivyo? Baada ya muda mfupi kutakuwa na bikini party!
 
nimempenda huyo aliecmama hapo kwenye swimming pool, kapendeza.
 
natamani wafanye hivi mbele ya slaa(atazoa wengi mwaka huu)teh,teh,teh.

unajua hata kama unamchukia, mchukie tu.
Tatizo lake amekushika pabaya , na kwa sasa maumivu yake unayasikia. Mtoto wa binadamu mwenzako kakukosea nini, please if u hate dr. Slaa, leave him alone sio kumtusi rais mtarajiwa, pia usimtusi jk kwani ni rais wetu, naye pia ni rais mtarajiwa. Jiheshimu bwana na heshimu utu wa watu ebo!!!!!
 
Ila Mfukunyuzi nimekuzimia Fegi,
Unafukunyua haswaaa
😛layball:
 

Kama wewe ni mtu wa dini na unaipenda na kuiheshimu dini yako,sema ukweli Daktari Slaa hajachukuwa mke wa Amanuel Chadiel Mahimbo mkazi wa Kimara, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam?
Tatizo lenu ni kupenda kupita kiasi hata chongo unaona kengeza!Penye ukweli lazima watu wauseme japokuwa kwako na kwa wenzio unawauma(mkiona mnakeleka jitoeni humu jamvini na mkimbilie kule ze ujinga ujinga!)
Kwa taarifa yako na wenzio mwaka mnao,wacha kwanza jamaa warudi ikuru halafu mtawatambua kama vile alivyowatambua Ngawaiya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…